silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Tanzania hii ya sasa ni ya Educated and people who have tired with Promices which are not applicable,, wamechoka kudanganywa na wanaotafuta ukweli wa mambo kwa Gharama yeyote ile..
Sasa Kikwete ni mtu ambaye ni maalum kwa kuwa tu Diwani kwasababu Adhi yake Si kuwa Raisi,, aDHI YAKE SI KUWA RAISI... NI UDIWANI!!
Watanzania walio Elimika na wanaotaka Haki ya kikatiba na kisheria inatendeka kwa kiwango kinachotakiwa,, hii itampashida sana,, kwani kipindi kile watanzania wachache tu ndio walikuwa wanajua hayo mambo yanawezekana,, na woga pia umewapungua...
Hebu tazameni lile Baraza yaani Vitu vyake anafanya kimasialamasiala tuuu, na Mikataba ya Kilaghai kasign Kwaajiri ya Bandali ya Tanzania wanabaki wanafaidika watu wachache ambao si Watanzania,, inauma sana
Sasa Kikwete ni mtu ambaye ni maalum kwa kuwa tu Diwani kwasababu Adhi yake Si kuwa Raisi,, aDHI YAKE SI KUWA RAISI... NI UDIWANI!!
Watanzania walio Elimika na wanaotaka Haki ya kikatiba na kisheria inatendeka kwa kiwango kinachotakiwa,, hii itampashida sana,, kwani kipindi kile watanzania wachache tu ndio walikuwa wanajua hayo mambo yanawezekana,, na woga pia umewapungua...
Hebu tazameni lile Baraza yaani Vitu vyake anafanya kimasialamasiala tuuu, na Mikataba ya Kilaghai kasign Kwaajiri ya Bandali ya Tanzania wanabaki wanafaidika watu wachache ambao si Watanzania,, inauma sana