Wengine wanadhani mambo ya siasa yanafanana na ushabiki wa mpira mitaani, tuwahurumie tu .Watanzania wanaelewa na sio wajinga kushabikia vitu wanavyoona haviana manufaa kwao ndio maana ukiwaambia waandamane huwaoni.
Shida ya watanzania ni kutokuwa wabunifu hata wakitoka vyuoni malengo ni kuajiriwa tu, unatakiwa ufikiri zaidi na kubuni kazi zipo nyingi tu tatizo tunataka kazi za ofisini tu
Serikali ya Uingereza kwa nini iliilazimisha zile fedha zirudishwe na zikarudi .Hukumbuki hizo fedha zilileta balaa mpaka kwenye Bunge la Uingereza. Naomba uwe unafatilia mambo na usilete stoty za mitaani hapa .
Kafisidi nini Rostam lete ushahidi hapa sio longo longo, mbona Blair ametajwa kwenye mijadala ya kidunia na imedhihirika kumbuka ni waandishi 600 duniani wameshiriki kuleta majina hayo mojawapo ni huyo Blair na wengineo wengi . Unajua suala la Radar ile mbovu na Tanzania baadae tulifidiwa ...
Unaonekana hamnazo kabisa sisi ndio tulichanga tukampatia Mbunge wachezaji kama wakishinda ikiwa ni hamasa kwao. Nakushauri nenda kachambie mgomba haraka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.