Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 28,270
- 81,530
Tuliza hasira. Wakati wa utawala uliopita, wengi tulilalamikia maendeleo ya vitu yaende sambamba na maendeleo ya watu!hivi mpuuzi wewe si ndio mlikuwa mnasema mnataka maendeleo ya watu na sio vitu???
na vitu unavyotaka ni uwanja wa mpira
mbegu za mbowe zimekuharibu ubongo
Hatukusema tunataka maendeleo ya watu tu.