Prof. Assad: Niliondolewa kazini kinyume na taratibu kwasababu nilikuwa sifuati maelekezo ya Mtu

Niliondolewa Ofisini kinyume na taratibu kwa sababu nilikuwa nasimamia na kufanya kazi kwa kufuata taratibu na miongozo ya kazi na sio maelekezo ya mtu,kuna mahali viongozi wetu wanashindwa kusimamia wanachokiamini kwa hofu ya kuporwa V8, wanahofu kukosa riziki.

Hili suala la kuniita CAG aliyemaliza muda wake binafsi linaniudhi, katiba ibara ya 144 inatamka wazi muda wa kumaliza na sababu za kukoma kuwa CAG, mimi nilipotolewa ofisini sikuwa nimemaliza muda wangu. Nadhani hatukuwa wazuri katika kusimamia katiba.

Mussa si jina langu, jina alilonipa baba yangu ni Jaffar. Wakati nasoma kulitokea matatizo fulani, ikabidi nitoke sehemu moja kwenda nyingine ili kumaliza masomo na hili jina la Mussa nikalipata huko ila watu wanaonifahamu wananijua kama Jaffar- Profesa Mussa Assad, CAG wa zamani.
Prof Assad ,kama ungekuwa umesoma na kuelewa.Kama nilivyosima CV yako.Are of interest Investment analysis. Ungekuwa na project yako kubwa ,upo busy .Lakin unatia aibu,kila siku malalamiko.Umesoma ukaelewa kweli?Au ulikariri?
 
Kama anakumbuka ajibu tena lile swali.....1.5T ziko wapi ? Zilipigwa au zilitumika wapi?
 
Niliondolewa Ofisini kinyume na taratibu kwa sababu nilikuwa nasimamia na kufanya kazi kwa kufuata taratibu na miongozo ya kazi na sio maelekezo ya mtu,kuna mahali viongozi wetu wanashindwa kusimamia wanachokiamini kwa hofu ya kuporwa V8, wanahofu kukosa riziki.

Hili suala la kuniita CAG aliyemaliza muda wake binafsi linaniudhi, katiba ibara ya 144 inatamka wazi muda wa kumaliza na sababu za kukoma kuwa CAG, mimi nilipotolewa ofisini sikuwa nimemaliza muda wangu. Nadhani hatukuwa wazuri katika kusimamia katiba.

Mussa si jina langu, jina alilonipa baba yangu ni Jaffar. Wakati nasoma kulitokea matatizo fulani, ikabidi nitoke sehemu moja kwenda nyingine ili kumaliza masomo na hili jina la Mussa nikalipata huko ila watu wanaonifahamu wananijua kama Jaffar- Profesa Mussa Assad, CAG wa zamani.
IPO HAJA NA SABABU ZA DHATI KABISA ZA KUMRUDISHIA NAFASI YAKE HUKU AKIONGEZEWA SEHEMU ZA KUKAGUA AMBAZO HAPO AWAMU ZILIKUWA RESTRICTED KAMA IKULU NA KADHALIKA,KWA KUFANYA HILI ITAMPA CREDIT KUBWA SANA RAIS LETU SAMIA SULUHU HASAAN.PLS DO THIS MY PRESIDENT ITAWAJIBU WATANZANIA MAJIBU 1000 YA KWANZA WEWE NI KIONGOZI WA AINA GANI.
 
Niliondolewa Ofisini kinyume na taratibu kwa sababu nilikuwa nasimamia na kufanya kazi kwa kufuata taratibu na miongozo ya kazi na sio maelekezo ya mtu,kuna mahali viongozi wetu wanashindwa kusimamia wanachokiamini kwa hofu ya kuporwa V8, wanahofu kukosa riziki.

Hili suala la kuniita CAG aliyemaliza muda wake binafsi linaniudhi, katiba ibara ya 144 inatamka wazi muda wa kumaliza na sababu za kukoma kuwa CAG, mimi nilipotolewa ofisini sikuwa nimemaliza muda wangu. Nadhani hatukuwa wazuri katika kusimamia katiba.

Mussa si jina langu, jina alilonipa baba yangu ni Jaffar. Wakati nasoma kulitokea matatizo fulani, ikabidi nitoke sehemu moja kwenda nyingine ili kumaliza masomo na hili jina la Mussa nikalipata huko ila watu wanaonifahamu wananijua kama Jaffar- Profesa Mussa Assad, CAG wa zamani.
View attachment 1966446
Asikwambie mtu, madaraka ni mazuri. Prof. Assad a.k.a Jaffar mpaka leo bada anaweweseka na uCAG!
 
Analazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.

Bahati mbaya alikutana na Chuma.

Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.

Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?
Kwani yeye nae yupo wapi.si kaondolewa kama alivyokuwa anawaondoa wenzake


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Assad ni mmojawapo wa wazalendo wachache wasio wachumia tumbo tu waliobaki.
Unauthibitishaje uzalendo wake ikiwa yeye mwenyewe bado anaendelea kuulilia U CAG,kipi alikua hajakikamilisha ambacho anaona aliporwa
 
Mmmh!apa Kuna shida mahali,kwanini mpaka leo anaendelea kuulilia ucag anaodai aliporwa? Kwanini asikubali tu kuishi maisha yakaendelea kuliko kuendelea kulia lia hapa Kuna kitu hakiko sawa juu yake.Kwani kusitaafu kuko kwa aina ngapi? Mimi navojua kuko kwa aina 3:-
( 1) kustaafu umri ukifika, 2)kuomba kustaafu kwa hiari yako 3)kustaafishwa kwa lazima kutokana na sababu zilizoonwa na mamlaka zilizokuajiri na kwenye katiba anayosema ilikiukwa Kuna kipengere pia kina eleza ikiwa CAG atakiuka maadili flani ya utumishi wa umma basi taratibu za kumuwajibisha ziko wazi.kwa hivyo basi CAG anaendelea kulia Lia anaangukia humo kwenye aina tatu.Kwahivyo atulie maisha mengine yaendelee au alikua kichaka flani Cha watu flani flani kujipigia hela? Na hao ndio wanaompa kichwa kwamba alionewa.
 
Hiki chuma inabidi mama akirudishe tu ofisini, na apeleke bungeni muswada wa dharura wa kubadili kipengele cha katiba kinacho mzuia kuajiriwa na gov.
mbona hakuongea wakati wa mwandazake.bora alitumbuliwa ni mdini sana na mbaguzi nchi hatutaki watu wanaondekeza udini
 
mbona hakuongea wakati wa mwandazake.bora alitumbuliwa ni mdini sana na mbaguzi nchi hatutaki watu wanaondekeza udini
Wapi ulimsikia akionge habari ya Dini.Yule jamaa wa Chato alikuwa mtu katili katika list ya watu makatili Duniani.sifa na shukrani ziende kwa Muumba wa Mbingu na Dunia kwa kusikiliza kilio chetu.hakika wewe ni Mungu wa kweli na ujawahi shindwa jambo lolote lile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Some katiba kuhusu muhula wa CAG; ni miaka mitano, ambayo Assad alimaliza. Baada ya hapo, Rais anaweza kumteua tena kwa muhula mwinginemmoja wa miaka mitano tena, lakini JPM hakumteua. Asilalamike bali asome Katiba ajue inasemaje.
Mbona nyie kwenye li chama lenu chakavu muda wa miaka mitano wa urais ukiisha mnasema ni utamaduni wenu kumuacha amalizie mengine iwe kumi na yeyote atakaye jitokeza kuchukua fomu yatamkuta ya membe

Opofu unakuja kwa prof: tu kweli kuwa ccm ni sawa na mbweha
 
Analazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.

Bahati mbaya alikutana na Chuma.

Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.

Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?

Kidume kafa, sasa kabaki skeleton kaburini. Na huyo unaesema takataka anadunda.
 
mbona hakuongea wakati wa mwandazake.bora alitumbuliwa ni mdini sana na mbaguzi nchi hatutaki watu wanaondekeza udini

Mm mkristo, mwendazake alichagua waislam wachache sana dhidi ya wakristo..

udini wa Assad ni upi katika kutekeleza majukumu yake? anacho kiamini yy kwa moyo wake wote, ni yy nq Mungu wake wewe imani yake ina kuhusu nn ?

kipindi cha jpm nani alikuwa anaweza kuongea? na akiongea asichokipenda kukisikia jpm chombo kipi kinaweza kiripoti?

aliongea alichoweza, aliitwa na bunge na still alisimamia alichokiongea.

wewe ndiye mwnye chuki dhidi yake, yy ni mzalendo na mweledi kwakua anapenda nchi yake ijapo anawakera wanafaika na ufisadi ama mafisadi wenyewe.
 
Back
Top Bottom