Prof Assad ,kama ungekuwa umesoma na kuelewa.Kama nilivyosima CV yako.Are of interest Investment analysis. Ungekuwa na project yako kubwa ,upo busy .Lakin unatia aibu,kila siku malalamiko.Umesoma ukaelewa kweli?Au ulikariri?Niliondolewa Ofisini kinyume na taratibu kwa sababu nilikuwa nasimamia na kufanya kazi kwa kufuata taratibu na miongozo ya kazi na sio maelekezo ya mtu,kuna mahali viongozi wetu wanashindwa kusimamia wanachokiamini kwa hofu ya kuporwa V8, wanahofu kukosa riziki.
Hili suala la kuniita CAG aliyemaliza muda wake binafsi linaniudhi, katiba ibara ya 144 inatamka wazi muda wa kumaliza na sababu za kukoma kuwa CAG, mimi nilipotolewa ofisini sikuwa nimemaliza muda wangu. Nadhani hatukuwa wazuri katika kusimamia katiba.
Mussa si jina langu, jina alilonipa baba yangu ni Jaffar. Wakati nasoma kulitokea matatizo fulani, ikabidi nitoke sehemu moja kwenda nyingine ili kumaliza masomo na hili jina la Mussa nikalipata huko ila watu wanaonifahamu wananijua kama Jaffar- Profesa Mussa Assad, CAG wa zamani.
Bila kutoa sababu, wewe binafsi utaonekana mpuuzi sana!Ni mpuuzi tu
IPO HAJA NA SABABU ZA DHATI KABISA ZA KUMRUDISHIA NAFASI YAKE HUKU AKIONGEZEWA SEHEMU ZA KUKAGUA AMBAZO HAPO AWAMU ZILIKUWA RESTRICTED KAMA IKULU NA KADHALIKA,KWA KUFANYA HILI ITAMPA CREDIT KUBWA SANA RAIS LETU SAMIA SULUHU HASAAN.PLS DO THIS MY PRESIDENT ITAWAJIBU WATANZANIA MAJIBU 1000 YA KWANZA WEWE NI KIONGOZI WA AINA GANI.Niliondolewa Ofisini kinyume na taratibu kwa sababu nilikuwa nasimamia na kufanya kazi kwa kufuata taratibu na miongozo ya kazi na sio maelekezo ya mtu,kuna mahali viongozi wetu wanashindwa kusimamia wanachokiamini kwa hofu ya kuporwa V8, wanahofu kukosa riziki.
Hili suala la kuniita CAG aliyemaliza muda wake binafsi linaniudhi, katiba ibara ya 144 inatamka wazi muda wa kumaliza na sababu za kukoma kuwa CAG, mimi nilipotolewa ofisini sikuwa nimemaliza muda wangu. Nadhani hatukuwa wazuri katika kusimamia katiba.
Mussa si jina langu, jina alilonipa baba yangu ni Jaffar. Wakati nasoma kulitokea matatizo fulani, ikabidi nitoke sehemu moja kwenda nyingine ili kumaliza masomo na hili jina la Mussa nikalipata huko ila watu wanaonifahamu wananijua kama Jaffar- Profesa Mussa Assad, CAG wa zamani.
Asikwambie mtu, madaraka ni mazuri. Prof. Assad a.k.a Jaffar mpaka leo bada anaweweseka na uCAG!Niliondolewa Ofisini kinyume na taratibu kwa sababu nilikuwa nasimamia na kufanya kazi kwa kufuata taratibu na miongozo ya kazi na sio maelekezo ya mtu,kuna mahali viongozi wetu wanashindwa kusimamia wanachokiamini kwa hofu ya kuporwa V8, wanahofu kukosa riziki.
Hili suala la kuniita CAG aliyemaliza muda wake binafsi linaniudhi, katiba ibara ya 144 inatamka wazi muda wa kumaliza na sababu za kukoma kuwa CAG, mimi nilipotolewa ofisini sikuwa nimemaliza muda wangu. Nadhani hatukuwa wazuri katika kusimamia katiba.
Mussa si jina langu, jina alilonipa baba yangu ni Jaffar. Wakati nasoma kulitokea matatizo fulani, ikabidi nitoke sehemu moja kwenda nyingine ili kumaliza masomo na hili jina la Mussa nikalipata huko ila watu wanaonifahamu wananijua kama Jaffar- Profesa Mussa Assad, CAG wa zamani.
View attachment 1966446
Kwani yeye nae yupo wapi.si kaondolewa kama alivyokuwa anawaondoa wenzakeAnalazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.
Bahati mbaya alikutana na Chuma.
Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.
Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?
Unauthibitishaje uzalendo wake ikiwa yeye mwenyewe bado anaendelea kuulilia U CAG,kipi alikua hajakikamilisha ambacho anaona aliporwaAssad ni mmojawapo wa wazalendo wachache wasio wachumia tumbo tu waliobaki.
mbona hakuongea wakati wa mwandazake.bora alitumbuliwa ni mdini sana na mbaguzi nchi hatutaki watu wanaondekeza udiniHiki chuma inabidi mama akirudishe tu ofisini, na apeleke bungeni muswada wa dharura wa kubadili kipengele cha katiba kinacho mzuia kuajiriwa na gov.
Nilikutana nae wizara ya ujenzi akitokea msikitini siku ya ijumaa moja.This man is a genious aise, halafu ana maisha simple sana kuna kipindi nilipishana nae pale millenium tower akisubiri usafiri wa Uber.
Yale yale ya Bashite 🤣 🤣Mpuuzi sana huyu mzee, mtu ayepambana nae hayuko, Mungu kamchukua, alafu kumbe jina sio lake la Musa.. Hii ni tatizo, asema Musa wa kweli yuko wapi? Kuna kitu hapa kaficha
Wapi ulimsikia akionge habari ya Dini.Yule jamaa wa Chato alikuwa mtu katili katika list ya watu makatili Duniani.sifa na shukrani ziende kwa Muumba wa Mbingu na Dunia kwa kusikiliza kilio chetu.hakika wewe ni Mungu wa kweli na ujawahi shindwa jambo lolote lile.mbona hakuongea wakati wa mwandazake.bora alitumbuliwa ni mdini sana na mbaguzi nchi hatutaki watu wanaondekeza udini
Kujua matumizi Trillion 1.5Unauthibitishaje uzalendo wake ikiwa yeye mwenyewe bado anaendelea kuulilia U CAG,kipi alikua hajakikamilisha ambacho anaona aliporwa
Mbona nyie kwenye li chama lenu chakavu muda wa miaka mitano wa urais ukiisha mnasema ni utamaduni wenu kumuacha amalizie mengine iwe kumi na yeyote atakaye jitokeza kuchukua fomu yatamkuta ya membeSome katiba kuhusu muhula wa CAG; ni miaka mitano, ambayo Assad alimaliza. Baada ya hapo, Rais anaweza kumteua tena kwa muhula mwinginemmoja wa miaka mitano tena, lakini JPM hakumteua. Asilalamike bali asome Katiba ajue inasemaje.
Analazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.
Bahati mbaya alikutana na Chuma.
Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.
Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?
mbona hakuongea wakati wa mwandazake.bora alitumbuliwa ni mdini sana na mbaguzi nchi hatutaki watu wanaondekeza udini