Ridhiwani Kikwete ameiva vya kutosha hivyo nashauri akabidhiwe majukumu makubwa zaidi awatumikie Watanzania

Mwamba Yuko vizuri Sana Hakika Mimi Binafsi namuombea Ridhiwani Kikwete,Mungu ampe mafanikio tele.
 
Mara 10 rizimoko apewa wizara kuliko Mr tozo na jamaa alieua twiga wetu Mr matunguli
 
MHESHIMIWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

✓MHESH Ridhiwani Kikwete ameiva vya kutosha hivyo nashauri akabidhiwe majukumu makubwa zaidi awatumikie Watanzania

Mtoto wa Kiongozi Mkubwa kisiasa aliyesoma shule za kawaida kabisa hapa nchini Tanzania akianzia Sekondari ya Shaaban Robert Dar es salaam, Sekondari ya Mkwawa Iringa na baadaye Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam alikohitimu Sheria

Amejaaliwa sifa mbalimbali

•Uzoefu wa Kutosha Jimboni Chalinze
•Mchapakazi
•Mvumilivu
•Mtiifu
•Muadilifu
•Mnyenyekevu
•Msikivu
•Ametekeleza Ilani ya Uchaguzi Kikamilifu
•Mtu wa Watu

Anafaa & anastahili & apewe nafasi
hapana kabisa tena ashindwe, kajizi sana hako kajamaa
 
MHESHIMIWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

✓MHESH Ridhiwani Kikwete ameiva vya kutosha hivyo nashauri akabidhiwe majukumu makubwa zaidi awatumikie Watanzania

Mtoto wa Kiongozi Mkubwa kisiasa aliyesoma shule za kawaida kabisa hapa nchini Tanzania akianzia Sekondari ya Shaaban Robert Dar es salaam, Sekondari ya Mkwawa Iringa na baadaye Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam alikohitimu Sheria

Amejaaliwa sifa mbalimbali

•Uzoefu wa Kutosha Jimboni Chalinze
•Mchapakazi
•Mvumilivu
•Mtiifu
•Muadilifu
•Mnyenyekevu
•Msikivu
•Ametekeleza Ilani ya Uchaguzi Kikamilifu
•Mtu wa Watu

Anafaa & anastahili & apewe nafasi
Sawa...ilikuwa Haina haja ya kuleta humu...kwani inajulikana nchi inavyoendeshwa
 
MHESHIMIWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

✓MHESH Ridhiwani Kikwete ameiva vya kutosha hivyo nashauri akabidhiwe majukumu makubwa zaidi awatumikie Watanzania

Mtoto wa Kiongozi Mkubwa kisiasa aliyesoma shule za kawaida kabisa hapa nchini Tanzania akianzia Sekondari ya Shaaban Robert Dar es salaam, Sekondari ya Mkwawa Iringa na baadaye Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam alikohitimu Sheria

Amejaaliwa sifa mbalimbali

•Uzoefu wa Kutosha Jimboni Chalinze
•Mchapakazi
•Mvumilivu
•Mtiifu
•Muadilifu
•Mnyenyekevu
•Msikivu
•Ametekeleza Ilani ya Uchaguzi Kikamilifu
•Mtu wa Watu

Anafaa & anastahili & apewe nafasi
Wewe tunakujua ni pusha na teja pigaaaa kelele na babaakeee mateja oyooooo
 
Kutumikia mpaka upewe Majukumu zaidi...

Kwani majukumu yote ya Ubunge ameshayamaliza ? Alikuwa likizo wakati Tozo ambazo wananchi walilalamika zinapitishwa ? Au alisema nini kupinga hayo ?
 
MHESHIMIWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

✓MHESH Ridhiwani Kikwete ameiva vya kutosha hivyo nashauri akabidhiwe majukumu makubwa zaidi awatumikie Watanzania

Mtoto wa Kiongozi Mkubwa kisiasa aliyesoma shule za kawaida kabisa hapa nchini Tanzania akianzia Sekondari ya Shaaban Robert Dar es salaam, Sekondari ya Mkwawa Iringa na baadaye Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam alikohitimu Sheria

Amejaaliwa sifa mbalimbali

•Uzoefu wa Kutosha Jimboni Chalinze
•Mchapakazi
•Mvumilivu
•Mtiifu
•Muadilifu
•Mnyenyekevu
•Msikivu
•Ametekeleza Ilani ya Uchaguzi Kikamilifu k
•Mtu wa Watu

Anafaa & anastahili & apewe nafasi
Toka aanze kumsifia mama kwa kila kitu huko Instagram tulijua huyu Kuna njia anaandaliwa hata usipokuja kumuombea humu tunafahamu ni mchakato endelevu ni suala la muda tu ila 2025 inaweza asifike akawa ndani ya baraza hili lipo wazi na halihitaji promo mkuu
 
MHESHIMIWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

✓MHESH Ridhiwani Kikwete ameiva vya kutosha hivyo nashauri akabidhiwe majukumu makubwa zaidi awatumikie Watanzania

Mtoto wa Kiongozi Mkubwa kisiasa aliyesoma shule za kawaida kabisa hapa nchini Tanzania akianzia Sekondari ya Shaaban Robert Dar es salaam, Sekondari ya Mkwawa Iringa na baadaye Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam alikohitimu Sheria

Amejaaliwa sifa mbalimbali

•Uzoefu wa Kutosha Jimboni Chalinze
•Mchapakazi
•Mvumilivu
•Mtiifu
•Muadilifu
•Mnyenyekevu
•Msikivu
•Ametekeleza Ilani ya Uchaguzi Kikamilifu
•Mtu wa Watu

Anafaa & anastahili & apewe nafasi


Tueleze kabla ya ubunge alifanya nini binafsi kuonyesha uwezo wake? Kitu ambacho hakimuhusu baba yake
 
MHESHIMIWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

✓MHESH Ridhiwani Kikwete ameiva vya kutosha hivyo nashauri akabidhiwe majukumu makubwa zaidi awatumikie Watanzania

Mtoto wa Kiongozi Mkubwa kisiasa aliyesoma shule za kawaida kabisa hapa nchini Tanzania akianzia Sekondari ya Shaaban Robert Dar es salaam, Sekondari ya Mkwawa Iringa na baadaye Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam alikohitimu Sheria

Amejaaliwa sifa mbalimbali

•Uzoefu wa Kutosha Jimboni Chalinze
•Mchapakazi
•Mvumilivu
•Mtiifu
•Muadilifu
•Mnyenyekevu
•Msikivu
•Ametekeleza Ilani ya Uchaguzi Kikamilifu
•Mtu wa Watu

Anafaa & anastahili & apewe nafasi
Kwa awamu hii hata akiwa Waziri Mkuu hakuna atakayeshangaa
 
k
MHESHIMIWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

✓MHESH Ridhiwani Kikwete ameiva vya kutosha hivyo nashauri akabidhiwe majukumu makubwa zaidi awatumikie Watanzania

Mtoto wa Kiongozi Mkubwa kisiasa aliyesoma shule za kawaida kabisa hapa nchini Tanzania akianzia Sekondari ya Shaaban Robert Dar es salaam, Sekondari ya Mkwawa Iringa na baadaye Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam alikohitimu Sheria

Amejaaliwa sifa mbalimbali

•Uzoefu wa Kutosha Jimboni Chalinze
•Mchapakazi
•Mvumilivu
•Mtiifu
•Muadilifu
•Mnyenyekevu
•Msikivu
•Ametekeleza Ilani ya Uchaguzi Kikamilifu
•Mtu wa Watu

Anafaa & anastahili & apewe nafasi
kwani hii nchi ni sultanate state?? kampe ukoo wako awaongozee.
 
MHESHIMIWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

✓MHESH Ridhiwani Kikwete ameiva vya kutosha hivyo nashauri akabidhiwe majukumu makubwa zaidi awatumikie Watanzania

Mtoto wa Kiongozi Mkubwa kisiasa aliyesoma shule za kawaida kabisa hapa nchini Tanzania akianzia Sekondari ya Shaaban Robert Dar es salaam, Sekondari ya Mkwawa Iringa na baadaye Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam alikohitimu Sheria

Amejaaliwa sifa mbalimbali

•Uzoefu wa Kutosha Jimboni Chalinze
•Mchapakazi
•Mvumilivu
•Mtiifu
•Muadilifu
•Mnyenyekevu
•Msikivu
•Ametekeleza Ilani ya Uchaguzi Kikamilifu
•Mtu wa Watu

Anafaa & anastahili & apewe nafasi
Mimi niliiva zangu kitambo hukunipigia bango
 
MHESHIMIWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

✓MHESH Ridhiwani Kikwete ameiva vya kutosha hivyo nashauri akabidhiwe majukumu makubwa zaidi awatumikie Watanzania

Mtoto wa Kiongozi Mkubwa kisiasa aliyesoma shule za kawaida kabisa hapa nchini Tanzania akianzia Sekondari ya Shaaban Robert Dar es salaam, Sekondari ya Mkwawa Iringa na baadaye Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam alikohitimu Sheria

Amejaaliwa sifa mbalimbali

•Uzoefu wa Kutosha Jimboni Chalinze
•Mchapakazi
•Mvumilivu
•Mtiifu
•Muadilifu
•Mnyenyekevu
•Msikivu
•Ametekeleza Ilani ya Uchaguzi Kikamilifu
•Mtu wa Watu

Anafaa & anastahili & apewe nafasi
Apewe uwaziri wa fedha
 
Back
Top Bottom