Recent content by Entrepreneurial

  1. Entrepreneurial

    JamiiForums Tanzania Waziri Mwigulu: Watanzania mnasahau mapema alikuwepo CAG Assad kwani kilimkuta nini?

    Halafu kuna keyboard warriors!
  2. Entrepreneurial

    JamiiForums Tanzania Nilidanganywa kusoma PGM nitakuwa rubani, leo hii mpishi kwa Mhindi

    Afadhali ingekuwa kwa Mwafrika enhh...?
  3. Entrepreneurial

    JamiiForums Tanzania Mmezipata habari za ChatGPT? Automation inatishia ajira za watu

    Weka sample bhana ipelekwe TBS ikakaguliwe...
  4. Entrepreneurial

    JamiiForums Tanzania USHUHUDA: Dunia, uchawi umeniacha hoi. Mungu nikumbuke

    Is 'Havard' a new university somewhere in the western countries?? Au imeanzishwa huku kwetu Africa? Kama anaejua anijuze tafadhali, nimepata hamu ya kurudi masomoni ghafla!
  5. Entrepreneurial

    JamiiForums Tanzania Dhahabu kilo 53 yakamatwa uwanja wa ndege wa Mumbai kutoka kwa wasafiri waliotoka Tanzania

    Kalamu & zitto junior, Kwa heshima zote, maana mvutano wenu imejaa mantiki na uwezo wa mdahalo upande zote mbili Kwa nyakati tofauti tofauti. Lakini mnatuchosha! Cool down (hata kama usoni mna tabasamu) Hii dhahabu haiwezi thibitishwa imetoroshwa Tanzania ikiwa dhahabu ghafi. Period! Kwa...
  6. Entrepreneurial

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi; Usafiri wa ndege ni salama kuliko usafiri mwingine wowote, ajali ya precision lawama kwa waokoaji. Hongera rubani

    @dmkari.. uliishia njiani masomo ya Ulubani wa ndege mwaka upi?
  7. Entrepreneurial

    JamiiForums Tanzania Nachukia sana kuona wahindi na waarabu wanakaa Upanga wazawa tunalala Mbagala

    Wazawa waache kuajiri wazawa kusaidia kazi za nyumbani kuanzia leo... haipendezi... tuwalete hao wasaidizi kutoka India, Uarabuni na Ulaya jamani.. ndio itapendeza !
  8. Entrepreneurial

    JamiiForums Tanzania Kidogo chochote unachopata, kitunze tafadhali

    Mungu ni mwenye kurehumu sana... kila anayeteseka kifedha kwa mfano, Mungu ana sababu zake kukubali apitie magumu hayo... kwani ni kuamua tu na inakuwa kwa muumba wetu... kuna matendo yetu (sio lazima madhambi), kuna mazingira, kuna binadamu mwingine ana sababisha (mmoja kwa mmoja au la), n.k...
  9. Entrepreneurial

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Shamba pamoja na majengo na trekta vinauzwa

    Ina hati mmiliki au?
  10. Entrepreneurial

    JamiiForums Tanzania Kwanini Hayati Magufuli aliwapunguzia mishahara watumishi wa TMAA?

    Ukishaona mtu anawatukana wengine huko akiwepo mwenyewe pia, ujue kashachoka maisha...tuongelee point mmoja tu ili isiwe ndefu...kama hizo stress zinatokana na mambo za kiuchumi, ujue ni mtu hana akili kubwa sana lakini anadhani vinginevyo.. AU, ana akili sana na bahati (fursa) pia anazo lakini...
  11. Entrepreneurial

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya wahindi na hizi biashara

    Wewe unalipa kodi kikamilifu? Tuache uwongo, ni kama tunataka kusema kwamba wahindi wote kwa ujumla wao wangelipa kodi kikamilifu, ndio serikali ingejitosheleza.. Tusisahau kwamba wahindi hawafanyi kazi kwenye idara yoyote ile za serikali, labda mmoja mmoja tu.. 1 in like 10,000 maybe (something...
  12. Entrepreneurial

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya wahindi na hizi biashara

    Na wanaopokea hiyo rushwa ni nani? Hao hao wahindi tena au??
  13. Entrepreneurial

    JamiiForums Tanzania Ngurumo: Magufuli na “maparoko wake” wana kesi ya kujibu

    Laiti Watanzania wote wangekuwa wakweli kama wewe... nawaza tu... tungekuwa mbali sana... Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom