Hakimu = Mtumishi wa mahakama analipwa na serikali
Maafisa misitu= Watumishi wa serikali.
Kwa kawaida watumishi wa serikali wana tabia ya kuokoana kwenye misala😀😀😀
Hii dunia ukiishi kwa kukwazika utaona maisha ni magumu. Kuna mwingine akiona bongo movies au akisikiliza bongo fleva ndani ya basi naye anakwazika.
Haya maisha huhitaji kuwa mtu wa complications
Nyimbo za injili zina shida gani?Zinatukana? Zinahamasisha vurugu? Zinahamasisha mauji? Zinahamasisha wizi? Mbona sijawahi sikia mkilalamikia nyimbo za bongofleva zenye maudhui ya ngono zinapopigwa kwenye mabasi?
Wewe kinachokupa furaha kuna mwingine kinamkera and vice versa is true. Haya maisha...
Ni kweli kabisa, huwezi ukatawala wakati una njaa. Viongozi wengi wa CCM wana njaa, wanaishi kwa kutegemea Dola. Mfano rahisi ni mkuu wa mkoa, utaona anafanya ziara anafokafoka lakini mwisho wa siku anaomba mafuta na posho kwa RAS. Vivyo hivyo hata kwenye Halmashauri. CCM ni ngumu kuisimamia...
Uharaka wa huduma za online inategemea kama kuna pesa. Kwa mfano kwa watumishi wa umma ukiomba mkopo kwenye mfumo wa ess unaweza pata hela ndani ya saa moja. Kwenye mfumo huohuo ebu omba uhamisho 😀😀😀 supervisor hadi umfuate au umpigie simu, mkurugenzi na RAS kupitisha hadi wajisikie, wanaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.