Recent content by Enthusiastic

  1. Enthusiastic

    Israel yawaomba msamaha Wakristo wote kwa kitendo cha askari wa IDF kuvunja sanamu ya Yesu msalabani

    Sisi wasomi wa Biblia tunampongeza mwanajeshi. Kibiblia Yesu yu hai. Kuchonga sanamu ya Yesu ni kufuru
  2. Enthusiastic

    Maafisa misitu 2 wahukumiwa kifungo cha miaka miwili jela au kulipa faini ya shilingi laki tano kila mmoja kwa Ruswa ya milioni 8

    Hakimu = Mtumishi wa mahakama analipwa na serikali Maafisa misitu= Watumishi wa serikali. Kwa kawaida watumishi wa serikali wana tabia ya kuokoana kwenye misala😀😀😀
  3. Enthusiastic

    Ninachoamini ni kwamba itachukua miaka mingi sana kwa Tanzania kuja tena kutawaliwa na Mwanamke

    Marekani kwenyewe hiyo fifty-fifty hapo. Marekani kazi ile ile lakini mwanaume ana mshahara mkubwa kuliko mwanamke
  4. Enthusiastic

    Ni sawa kuweka nyimbo za injili kwenye mabasi ya mikoani?

    Kwa waislam na walokole bongofleva ni haram! Haina mrengo wa Imani flani lakini ni kero kumsikilizisha mtu ambaye kwake ni haram
  5. Enthusiastic

    Ni sawa kuweka nyimbo za injili kwenye mabasi ya mikoani?

    Hii dunia ukiishi kwa kukwazika utaona maisha ni magumu. Kuna mwingine akiona bongo movies au akisikiliza bongo fleva ndani ya basi naye anakwazika. Haya maisha huhitaji kuwa mtu wa complications
  6. Enthusiastic

    Ni sawa kuweka nyimbo za injili kwenye mabasi ya mikoani?

    Nyimbo za injili zina shida gani?Zinatukana? Zinahamasisha vurugu? Zinahamasisha mauji? Zinahamasisha wizi? Mbona sijawahi sikia mkilalamikia nyimbo za bongofleva zenye maudhui ya ngono zinapopigwa kwenye mabasi? Wewe kinachokupa furaha kuna mwingine kinamkera and vice versa is true. Haya maisha...
  7. Enthusiastic

    KERO Kilio cha Watumishi wa Bugando: Changamoto, Unyanyasaji na Ukiukwaji wa Haki za Wafanyakazi

    Hiyo Hospitali aliifufua Prof Abel Makubi ilikuwa inaenda kujifia, baada ya Makubi kuondoka wenye Hospitali wakashindwa kutafuta mtu kama Makubi
  8. Enthusiastic

    Sugu: CCM sasa hivi hawatawali nchi, inatawaliwa na Dola. Huenda CCM wamenyang'anywa jukumu la kufanya Siasa

    Ni kweli kabisa, huwezi ukatawala wakati una njaa. Viongozi wengi wa CCM wana njaa, wanaishi kwa kutegemea Dola. Mfano rahisi ni mkuu wa mkoa, utaona anafanya ziara anafokafoka lakini mwisho wa siku anaomba mafuta na posho kwa RAS. Vivyo hivyo hata kwenye Halmashauri. CCM ni ngumu kuisimamia...
  9. Enthusiastic

    Ridhiwani: Ni marufuku kwa watumishi wote wa umma kutumia mitandao isiyo rasmi kutuma na kupokea nyaraka za serikali

    Wote wana email za serikali? Maafisa wangefungua email za serikali ndo wakatoa maelekezo kwa barua na si kukurupuka
  10. Enthusiastic

    Wakanisa Mtaficha Wapi Hizi Aibu Duniani

    Marekani wanaua yeyote anayeingilia maslahi yao. Patrice Lumumba alikuwa Muislam?
  11. Enthusiastic

    KERO Mabosi Serikalini bwana, mtu anakaa na file wiki 2, hivi huwa mnayafanya nini?

    Uharaka wa huduma za online inategemea kama kuna pesa. Kwa mfano kwa watumishi wa umma ukiomba mkopo kwenye mfumo wa ess unaweza pata hela ndani ya saa moja. Kwenye mfumo huohuo ebu omba uhamisho 😀😀😀 supervisor hadi umfuate au umpigie simu, mkurugenzi na RAS kupitisha hadi wajisikie, wanaweza...
  12. Enthusiastic

    Mwigulu ataka TAMISEMI 'wakate safari na Chai' kujenga madarasa

    Kujenga madarasa hadi serikali kuu iingilie kati?? Hii nchi bado tuna safari ndefu
  13. Enthusiastic

    Hakuna nchi yoyote ile duniani, iliyojengwa kwa sala na maombi. If prayers really work, Africa would be the richest continent in the world

    Mkuu we pray, we don't beg. The Bible that you don't believe ina majibu kuhusu what is prayer and why we pray
Back
Top Bottom