Recent content by Enthusiastic

  1. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Jamii inapaswa kutambua kuwa, Kumshambulia Askari akiwa katika majukumu yake ikithibitika, Mahakama inaweza kukufunga MIAKA 5 JELA

    Kwa issue ya Dr. Conrad busara ya kusameheana itumike kumaliza jambo hili.
  2. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania KERO Mke wangu amepata changamoto ya Afya ya Akili, tumekosa uhamisho Serikalini ili tuwe karibu

    Aonane na mwenye mbwa na sio mbwa. Namaanisha aonane na Mkurugenzi wa HR au msaidizi wake au KM au NKM ni watu wema sana na wasikivu sana. Kuhusu kutenga bajeti sishauri, atatapeliwa! Zingatia mwenye mbwa na sio mbwa. Shinda ya mbwa hazina ustaarabu, zinaweza kukung'ata. Ningekua na mamlaka...
  3. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: Siungi mkono mamlaka ya Rais kupunguzwa

    Akitaka ufe leo unakufa, au unabishi? Akiagiza uuawe unauawa! Akiagiza hakuna kumtangaza mpinzani hata kama ameshinda uchaguzi na hatangazwi!!! Akiagiza tujifikize kwa mitishamba halafu wataalamu wakikosoa wanaadhibiwa!!! Ambaye hakosolewi si mungu huyo?? Mifano hai ipo mingi labda ujitoage ufahamu
  4. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: Siungi mkono mamlaka ya Rais kupunguzwa

    Binafsi mimi sina shida na madaraka ya Rais lakini yale yanayomfanya awe kama mungu, hapana!!! Madaraka yoyote yanayomfanya Rais awe kamungu hapa duniani, hayakubaliki!!!
  5. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Wewe kama baba unayemlea mtoto wako wa kike bila mama yake, ukaribu wako na mtoto unatakiwa uwe na mipaka akiwa na umri gani??

    Lack of moral instincts. Kama uko na moral instincts huwezi pata hisia za kimapenzi kwa binti au dada yako
  6. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Wewe kama baba unayemlea mtoto wako wa kike bila mama yake, ukaribu wako na mtoto unatakiwa uwe na mipaka akiwa na umri gani??

    Sisi tumepewa utashi na moral instincts tofauti na wanyama
  7. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Wewe kama baba unayemlea mtoto wako wa kike bila mama yake, ukaribu wako na mtoto unatakiwa uwe na mipaka akiwa na umri gani??

    Mwanao, dada yako au mama yako hata akivaa kipens huwezi pata hisia labda uwe na shida ya akili. Ila mke hata kama kavaa dela hisia zinaamka
  8. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Zandaani kabisa: Hesabu za 2030

    Mleta mada unamkosea sana JPM kumlinganisha na PM aliyepo.
  9. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Legacy ya Rais Samia ni ipi mpaka sasa?

    Ukusaidie nini?
  10. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Legacy ya Rais Samia ni ipi mpaka sasa?

    Tufanye kujumlisha na makusanyo ya kodi ya TRA katika Halmashauri husika yarudi kwenye hiyo Halmashauri (Mf: Halmashauri ya mji Tunduma)
  11. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Legacy ya Rais Samia ni ipi mpaka sasa?

    Mada ni madarasa, wewe umeshakimbilia huduma za jamii. Twambie gharama ya kujenga chumba kimoja cha darasa ni shilingi ngapi
  12. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Legacy ya Rais Samia ni ipi mpaka sasa?

    Ninapozungumzia madiwani namaanisha Halmashauri yaani serikali za mitaa. Kwani Halmashauri haziwezi kujenga madarasa? Kwenye Halmashauri hakuna idara ya mipango na vyanzo vya mapato kujenga madarasa? Leo hii bado tuna nchi ambayo rais wake miongoni mwa majukumu yake ni kujenga madarasa? Muonage...
  13. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Legacy ya Rais Samia ni ipi mpaka sasa?

    Ujenzi wa madarasa hata madiwani wanaweza😀😀😀
  14. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Jambo zito kisiasa lakaribia litatikisa, ni ama ajiamulie mwenyewe au wenyewe waamue

    Ni ramli? Ndoto? au issue iko programed?
  15. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Watanzania wanolipa income tax ni kama million 2 hivi kati ya watu million karibia 70 hili ni janga kwa Taifa

    Kuna kipindi nilikuwa na kazi yenye mshahara wa 1.5M, PAYE walikuwa wanakwangua 21%. Hawa serikali ni wanyonyaji hatari
Back
Top Bottom