Si kweli!! Usidanganye watu. Caesarian delivery ina risk nyingi na inamweka mama kwenye risk ya kupata complications nyingi.
Kama kuna uwezekano wa kajifungua kawaida njia ya kawaida ni salama zaidi.
Ni sawa lakini bei ya umeme iko juu. Umeme wa elfu 10 napata units 28!! ni expensive!! Fanyeni hata units 40+ kwa umeme wa elfu 10 muone nani atapikia mkaa
Hii mifumo ya kijiditali adui yake mkubwa ni makato. Nikitaka kutuma pesa kutoka NMB kwenda M-PESA ili nifanye malipo kwa lipa namba makato yake si rafiki kwa hiyo nachofanya nikwenda ATM kutoa cash.
Naona serikali bado haina nia thabiti ya kutufanya wananchi tutumie mifumo ya kidijitali
Mleta mada unadhani hiyo kauli ni ya Katambi?
Hujui kutofautisha kati ya mzungumzaji na microphone?
Hujui Katambi ni microphone?
Na hujui kama Katambi ametumika kama microphone kauli yake bado ina uhalali kisheria?
Chedema walisusia uchaguzi na Oct 29 mambo yakaharibika CCM wakapata wakati mgumu kuwalaumu Chadema.
Sasa wamepiga marufuku mikutano! Mambo yakiharibika tena sijui watamsingizia nani?
Yaani hata ukiomba kuhamia Halmashauri wanayoikimbia watumishi bado utaambiwa vacancy not budgeted!!
Idara ya utumishi kuanzia Halmashauri, taasisi, mashirika ya kiserikali hadi huko juu huduma zimejaa urasimu mwingi.
Kwa mwananchi wa kawaida akisikia hotuba za waziri wa utumishi anaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.