Recent content by Enthusiastic

  1. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania DOKEZO DED wa Mbeya DC anatumia Madaraka yake vibaya kukandamiza Watumishi

    Ngoja wahusika wafuatilie but badala ya kumfukuza ni vyema kujua changamoto zake, Umri wake? Kama yuko kwa age ya menopause kwa wamama wanakuwa na changamoto. Kingine ni vizuri kujua kama ana mme na je mume anafanya kazi yake sawasawa? NB: Mamlaka za uteuzi ziwage zinafanya vetting vizuri, si...
  2. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Kulikoni mbona idadi ya Watu tuliokuwa tukiishabikia Marekani na Israeli dhidi ya Iran sasa inapungua?

    Sote pro Iran na pro Israel tunanunua mafuta kwa bei ileile
  3. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Kiongozi wa Iran, Motaba Khamenei awaambia mataifa ya Ghuba kwamba Marekani haiwezi kuwalinda. Iran inaweza

    Bikra maria baada ya kumzaa Yesu, bikra iliondoka. Sio bikra
  4. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Israel yawaomba msamaha Wakristo wote kwa kitendo cha askari wa IDF kuvunja sanamu ya Yesu msalabani

    Sisi wasomi wa Biblia tunampongeza mwanajeshi. Kibiblia Yesu yu hai. Kuchonga sanamu ya Yesu ni kufuru
  5. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Maafisa misitu 2 wahukumiwa kifungo cha miaka miwili jela au kulipa faini ya shilingi laki tano kila mmoja kwa Ruswa ya milioni 8

    Hakimu = Mtumishi wa mahakama analipwa na serikali Maafisa misitu= Watumishi wa serikali. Kwa kawaida watumishi wa serikali wana tabia ya kuokoana kwenye misala😀😀😀
  6. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Ninachoamini ni kwamba itachukua miaka mingi sana kwa Tanzania kuja tena kutawaliwa na Mwanamke

    Marekani kwenyewe hiyo fifty-fifty hapo. Marekani kazi ile ile lakini mwanaume ana mshahara mkubwa kuliko mwanamke
  7. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Ni sawa kuweka nyimbo za injili kwenye mabasi ya mikoani?

    Kwa waislam na walokole bongofleva ni haram! Haina mrengo wa Imani flani lakini ni kero kumsikilizisha mtu ambaye kwake ni haram
  8. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Ni sawa kuweka nyimbo za injili kwenye mabasi ya mikoani?

    Hii dunia ukiishi kwa kukwazika utaona maisha ni magumu. Kuna mwingine akiona bongo movies au akisikiliza bongo fleva ndani ya basi naye anakwazika. Haya maisha huhitaji kuwa mtu wa complications
  9. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Ni sawa kuweka nyimbo za injili kwenye mabasi ya mikoani?

    Nyimbo za injili zina shida gani?Zinatukana? Zinahamasisha vurugu? Zinahamasisha mauji? Zinahamasisha wizi? Mbona sijawahi sikia mkilalamikia nyimbo za bongofleva zenye maudhui ya ngono zinapopigwa kwenye mabasi? Wewe kinachokupa furaha kuna mwingine kinamkera and vice versa is true. Haya maisha...
  10. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania KERO Kilio cha Watumishi wa Bugando: Changamoto, Unyanyasaji na Ukiukwaji wa Haki za Wafanyakazi

    Hiyo Hospitali aliifufua Prof Abel Makubi ilikuwa inaenda kujifia, baada ya Makubi kuondoka wenye Hospitali wakashindwa kutafuta mtu kama Makubi
  11. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Sugu: CCM sasa hivi hawatawali nchi, inatawaliwa na Dola. Huenda CCM wamenyang'anywa jukumu la kufanya Siasa

    Ni kweli kabisa, huwezi ukatawala wakati una njaa. Viongozi wengi wa CCM wana njaa, wanaishi kwa kutegemea Dola. Mfano rahisi ni mkuu wa mkoa, utaona anafanya ziara anafokafoka lakini mwisho wa siku anaomba mafuta na posho kwa RAS. Vivyo hivyo hata kwenye Halmashauri. CCM ni ngumu kuisimamia...
  12. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Ridhiwani: Ni marufuku kwa watumishi wote wa umma kutumia mitandao isiyo rasmi kutuma na kupokea nyaraka za serikali

    Wote wana email za serikali? Maafisa wangefungua email za serikali ndo wakatoa maelekezo kwa barua na si kukurupuka
  13. Enthusiastic

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tuambizane kiume, je ni sahihi kumrudia na kumuoa mwanamke mliyewahi kuachana baada ya yeye kuzaa na mtu mwingine?

    Tatizo tukitangaza vikao vya wanaume hamuhudhurii
  14. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Wakanisa Mtaficha Wapi Hizi Aibu Duniani

    Marekani wanaua yeyote anayeingilia maslahi yao. Patrice Lumumba alikuwa Muislam?
Back
Top Bottom