Recent content by Enthusiastic

  1. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Kujifungua kwa operesheni kuna punguza uke wa mwanamke

    Si kweli!! Usidanganye watu. Caesarian delivery ina risk nyingi na inamweka mama kwenye risk ya kupata complications nyingi. Kama kuna uwezekano wa kajifungua kawaida njia ya kawaida ni salama zaidi.
  2. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Serikali inahamasisha matumizi ya nishati safi lakini gharama zake zipo juu sana

    Ni sawa lakini bei ya umeme iko juu. Umeme wa elfu 10 napata units 28!! ni expensive!! Fanyeni hata units 40+ kwa umeme wa elfu 10 muone nani atapikia mkaa
  3. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania BoT: Kutunzana fedha katika sherehe kufuate kanuni

    Hii mifumo ya kijiditali adui yake mkubwa ni makato. Nikitaka kutuma pesa kutoka NMB kwenda M-PESA ili nifanye malipo kwa lipa namba makato yake si rafiki kwa hiyo nachofanya nikwenda ATM kutoa cash. Naona serikali bado haina nia thabiti ya kutufanya wananchi tutumie mifumo ya kidijitali
  4. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Tulioajiriwa ni kwamba tumeamua kupata hela mara 12 tu kwa mwaka

    Serikalini wizi unaoongoza ni wizi wa muda 😀😀😀
  5. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Kitulo. Ndo coldest place watu wanaishi in Makete Njombe Region and probably katika nchi ya Tanzania
  6. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Watu wa Makete wanakwambia hiyo uloona Njombe bado ni joto😂😂😂 Nenda Makete penyewe au fika Kitulo National park huko ndo makao makuu ya baridi
  7. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Patrobas Katambi amuweka Samia Suluhu kwenye minzani ya Utawala bora na Utawala wa Sheria

    Mleta mada unadhani hiyo kauli ni ya Katambi? Hujui kutofautisha kati ya mzungumzaji na microphone? Hujui Katambi ni microphone? Na hujui kama Katambi ametumika kama microphone kauli yake bado ina uhalali kisheria?
  8. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi apiga marufuku mikutano ya siasa kwa vyama vyote

    Chedema walisusia uchaguzi na Oct 29 mambo yakaharibika CCM wakapata wakati mgumu kuwalaumu Chadema. Sasa wamepiga marufuku mikutano! Mambo yakiharibika tena sijui watamsingizia nani?
  9. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania Ogopa kufanya jambo ambalo Nyerere hakufanya

    Yesu yu hai
  10. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto ya Uhamisho wa Watumishi wa serekali kupitia mfumo wa e-uhamisho wa ESS

    Yaani hata ukiomba kuhamia Halmashauri wanayoikimbia watumishi bado utaambiwa vacancy not budgeted!! Idara ya utumishi kuanzia Halmashauri, taasisi, mashirika ya kiserikali hadi huko juu huduma zimejaa urasimu mwingi. Kwa mwananchi wa kawaida akisikia hotuba za waziri wa utumishi anaweza...
  11. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto ya Uhamisho wa Watumishi wa serekali kupitia mfumo wa e-uhamisho wa ESS

    Hapa hata mood ya kazi zao imekata kabisa. Mood ya kazi sina ila mshahara nachukua na ufanisi lazima ushuke na utoro kazini kuongezeka
  12. Enthusiastic

    JamiiForums Tanzania KERO Kuna changamoto kubwa kwenye mfumo wa e-Uhamisho katika mchakato wa uhamisho wa Watumishi wa Umma

    Hawa watu madhalimu sana. Watu tunataka tukae karibu na familia zetu wao wanazuia!! Kilichobaki sasa ni kuwapiga matukio ya utoro
Back
Top Bottom