Recent content by Entermoeba

  1. E

    Hivi ndoa ya mkeka ni ndoa..?

    Ni ndoa halali kabisa
  2. E

    Tangazo la nafasi ya kazi maabara

    Habari! Habari za mchana ndugu zangu, anahitajika mtaalamu was maabara ngazi ya Cheti jinsi Ke, Mshahara maelewano. Call: 0768396747 Ahsanteni.
  3. E

    Single Mom nahitaji mwenza

    Nipo bila Shaka umepata
  4. E

    James Mbatia afanya ziara mkoani Mbeya, apokelewa na Mkuu wa Mkoa na kuhakikishiwa ulinzi

    Write your reply...mrema ajaye mpeni ushirikiano
  5. E

    Siku ya ufahamu kuhusu usonji/tawahudi duniani

    Habari wakuu! naomba kufahamishwa juu ya ugonjwa huu unaoitwa autisim huu ugonjwa nahisi anao mtoto wa kaka yangu nasema hivo kwa sababu kuu zifuatazo! 1. huyu mtoto amekuwa ni Kama vile anatatizo kwenye ubongo, 2.ni mtu wa kujitenga Sana na Ana hisia Kali Sana 3.pia mpaka Sasa anaongea kwa...
  6. E

    NAHITAJI MKE

    bonjour wana jf ! umri wangu ni miaka 32 ni mfanyabiashara naishi singida, Elimu yangu ni chuo. nahitaji mwanamke mwenye sifa zifuatazo ili awe mke wangu ! awe mcha mungu dini yoyote,awe na umri wa kuanzia miaka 20 hadi miaka 30 asiwe mnene sana , Mwenye uhitaji aje PM.
Back
Top Bottom