Ingekuwa nzito kama kg 5 ingekuja imeivaa speeed zoote. Lakin kale ni kachuma kanachomoka kwa pressure ya baruti
. So kakirudi ni kama wewe kurusha gorol juu af utegemee ikupasue ubongo
Waache kujadili upuuz
Wawafikilie kwanza watu wa mwnza, maji buhongwa yanatoka mara mbili kwa week na kutoka ziwan ni km 5 tu. Mwanza nzima ni 25% ndo wanapata huduma ya maji 24hr
Hizo ni stor za picha wangu
Ili upate moe wa kuendanan wa wewe mtafute kipindi huna kitu kabisaa, ukifanikiwa kimaisha kila mwanamke atakupenda tu.
Jambo ambalo si jema kwenye maisha ya sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.