Jamaa aliwakusanyaa Watu ili Awaambiw Wasikasanyikeee yani mulee Kichwani hakunaa kituNa aombee baba yake amkumbuke tenaa yani asalii sanaa maana Magu ndo mtu pekee anaweza mbebaa na kumpa nafasi tule jingaa
Huu mkoa kwa sasa hata habari zake sio nyingi sana kwenye vyombo vya habari.
Jamaa alikua anatia kashkash mara atunge hili halijaisha waandishi washaitwa, hatujakaa sawa mara kishapiga mkwara.
Makonda akiamka asubuhi ashavaa nguo za chama ameenda kukusanya wenzie huko yuko kwenye mishemishe sijui kama hata ofisini alikua anakaa yule jamaa.
Kama leo issue ya SADC angeshaita waandishi na ameielezea kama muhusika mkuu vile.
Mara kalia kanisani ilimradi vurugu au mara aseme anakula raha dunia nzima jamaa alikua anapenda media hatari.
Wanaume wote wa Dalisalama watapimwa tezi dume kama lipo sawa.
Tukikukuta unazurura tutakupa kazi ya kufanya
ati nae anasoma masters kuna vijana wanamuandikia thesis hatareeeBashite , mpuuzi mmoko
atafaa kwenye mipasho aende kuchukua nafasi ya mlinga yule mzee wa congo dustTatizo alikua na sifa sana mwamba, ila kwenye ubunge naona kama atafaa
Aisee!...Ina maana wajumbe wa Kigamboni walikosea?..Tatizo alikua na sifa sana mwamba, ila kwenye ubunge naona kama atafaa
Huu mkoa kwa sasa hata habari zake sio nyingi sana kwenye vyombo vya habari.
Jamaa alikua anatia kashkash mara atunge hili halijaisha waandishi washaitwa, hatujakaa sawa mara kishapiga mkwara.
Makonda akiamka asubuhi ashavaa nguo za chama ameenda kukusanya wenzie huko yuko kwenye mishemishe sijui kama hata ofisini alikua anakaa yule jamaa.
Kama leo issue ya SADC angeshaita waandishi na ameielezea kama muhusika mkuu vile.
Mara kalia kanisani ilimradi vurugu au mara aseme anakula raha dunia nzima jamaa alikua anapenda media hatari.
Huu mkoa kwa sasa hata habari zake sio nyingi sana kwenye vyombo vya habari.
Jamaa alikua anatia kashkash mara atunge hili halijaisha waandishi washaitwa, hatujakaa sawa mara kishapiga mkwara.
Makonda akiamka asubuhi ashavaa nguo za chama ameenda kukusanya wenzie huko yuko kwenye mishemishe sijui kama hata ofisini alikua anakaa yule jamaa.
Kama leo issue ya SADC angeshaita waandishi na ameielezea kama muhusika mkuu vile.
Mara kalia kanisani ilimradi vurugu au mara aseme anakula raha dunia nzima jamaa alikua anapenda media hatari.
Huu mkoa kwa sasa hata habari zake sio nyingi sana kwenye Vyombo vya Habari. Jamaa alikua anatia kashkash mara atunge hili halijaisha waandishi washaitwa, hatujakaa sawa mara kishapiga mkwara.
Makonda akiamka asubuhi ashavaa nguo za chama ameenda kukusanya wenzie huko yuko kwenye mishemishe sijui kama hata ofisini alikua anakaa yule jamaa.
Kama leo issue ya SADC angeshaita waandishi na ameielezea kama muhusika mkuu vile.
Mara kalia kanisani ilimradi vurugu au mara aseme anakula raha dunia nzima jamaa alikua anapenda media hatari.
Anachangamsha mji kwa mambo ya kipumbavu "Eti hakuna kwenda mjini kama hujaoga"
Jamaa aliwakusanyaa Watu ili Awaambie Wasikasanyikeee yani mulee Kichwani hakunaa kituNa aombee baba yake amkumbuke tenaa yani asalii sanaa maana Magu ndo mtu pekee anaweza mbebaa na kumpa nafasi yule jingaa