Tumetofautiana sana. Kuna mfanyakazi mwenzangu akawa anaomba utoke baada ya sikukuu, alionq ataumaliza, mapema, mi nikamwmabia jumamosi lazima, na ujibane usiende kuchukua
.by ze way, mtumishi aliyeelemika, alitakiwa ajipange mshahara wa mwezi wa 3, kusubiria mshahara huuz nikujitafutia mawazo...
Kama tarehe umezitaja sawasawa basi kijana wa kwanza alikutana naye siku ya 10 ambayo hakuwa na sababu ya kunywa P2 ilikuwa siku salama labda kama mzunguko wake wa period ni mdogo sana.
Na kijana B alikutana naye siku ya 14 siku ya yai kupevuka, siku hatarishi saa kwa wale wasiotaka mtoto...
Kama baba .mwenye akili, na unawaza kuwa ke anachukua hela za mtoto kwa starehe, kalipie ada shule, mnunulie mtoto material things kama woana mke anafaidi sana.
Ni kosa kubwa kumhukumu mtoto kwa ugomvi wenu.
Ni wewe
Unajulikana since then.
Na hapa kwa mtu mwenye akili akisoma between lines, anakutambua ni wewe.
Yaani na wewe umekatwaa, kweli siasa mchezo mchafu.
Slaa huyuhuyu aliyehama chama kwasababu ya Lowasa kwa hasira na kashfa za kutosha, ndiye aliyekuwa mgombea uraisi akanyang'anywa tonge Leo hii isemwe kuwa ni yeye ndiye alimkaribisha Lowasa ..acheni kutufanya mamburula jamani....naukumbuka sana ule wakati kuliko wakati mwingine wowote
Hivi huoni kama ni maarifa hayo? Mpaka chadema wanantukanana wenyewe kwa wenyewe, don't you see kwamba ni magenius...maarifa gani mnataka nyie watu?
Leo Ritered na Salary Slip wanaumana? Ha ha ha ha
What a pity!!!
Kwani hujui kuwa mbasi ni maendeleo? Acha upofu banaaa...hata nyumbani kwkao ukinunua taa ya ndani unashangalia umeendelea.
Kuhusu uongozi kwani ccm ina uchaguzi Sasa? Viongozi wapo tayari kwao sio agenda kwa Sasa.
Hivi kweli chadema wanatafakari nani awe kiongozi au wanaparurana kulingana...
Wewe ndio una low thinking. Au utueleze kwanza, gereza binafsi utatoaje huduma? Kwamba mfungwa akihukumiwa kifungo, atakfika kwenye gereza lako na atalipia yeye ama serikali?
Unafikiri magereza ni biashara?
Ulimdanganya umri wakati unamtongoza? Amekua mwaka huu kubwa umemzidi sana? Na je anafikiri unakwama wapi kwa umri huo ulizidi? Kuna mahali umeshindwa kupafom?
Point of correction, Suleiman hakupewa utajiri wa bure, alifanya kazi sana karibia kila sekta, na Mungu akambariki kila mahali alipogusa. Huyu jamaa alisoma sana wala hakubweteka.
Utajiri unatunzwa na Mungu pekee, shetani hajawahi kumtakia mtu mema, mpaka amlindie utajiri wake....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.