Hao wa Marekani wana usafi gani?
Wauaji wakubwa, karibia kila vita za nchi, kuna mkono wa Marekani
Kwanini wamwone Makonda muuaji na wamwogope kufanya utalii? Kwani ataua kila mtalii?
Mbona mawazo hasi sana hayaa.
Hatumtaki DSM
Aende hukohuko mikoani.
Chalamila mtu wa watu kiuhalisia
Makonda ni kwenye media tu, kiutendaji ni msanii tu.
Chalamila abakie DSM kwa miaka 10
Hivi hujawahi kuona, mtu mweusi akazaa albino?
Kwanini unawaza ujinga huo?
Kwani umeangalia kwenu hakuna weupe au kwa mkeo?
Mimi nakumbuka bibi yangu alikuwa anaangalia watoto wa mwanae wa kiume kwa kuangalia viganja vya mikono na husema huyu ni wa kwetu.
Sasa kama wewe umeangalia viganja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.