Recent content by Englishlady

  1. E

    Kutokana na mabadiliko ya kiutawala Arusha, serikali ikae makini ili jamaa asisababishe wazungu wakatoa travel advisory kwa raia wao

    Hakuna lolote Aende Arusha kisha arudi benchi. Han akili huyu Ile tamko pale uwanja wa ndege wakati wa kupokea ndege ndio kulikomwondoa kwenye uenezi.
  2. E

    Kutokana na mabadiliko ya kiutawala Arusha, serikali ikae makini ili jamaa asisababishe wazungu wakatoa travel advisory kwa raia wao

    Hao wa Marekani wana usafi gani? Wauaji wakubwa, karibia kila vita za nchi, kuna mkono wa Marekani Kwanini wamwone Makonda muuaji na wamwogope kufanya utalii? Kwani ataua kila mtalii? Mbona mawazo hasi sana hayaa.
  3. E

    Kutokana na mabadiliko ya kiutawala Arusha, serikali ikae makini ili jamaa asisababishe wazungu wakatoa travel advisory kwa raia wao

    Hatumtaki DSM Aende hukohuko mikoani. Chalamila mtu wa watu kiuhalisia Makonda ni kwenye media tu, kiutendaji ni msanii tu. Chalamila abakie DSM kwa miaka 10
  4. E

    Sikubaliani na Ufanyaji kazi wa Naibu waziri Biteko

    Umeme ulikuwa stable kwa 98 Mpe credit acha roho mbaya ya kishetani.
  5. E

    Sikubaliani na Ufanyaji kazi wa Naibu waziri Biteko

    Sasa waziri kazi yake nini? Basi kusiwe na vyeo vya uwaziri.
  6. E

    Sikubaliani na Ufanyaji kazi wa Naibu waziri Biteko

    Mbona Magu aliweza? Kwanini sasa iwe ngumu? Acha kutetea upumbavu
  7. E

    Je, ni sahihi Mwamposa kuimba wimbo wa taifa kanisani kwake?

    Sisi Kanisani kwetu, kanisa katoliki, kila mwaka mpya saa sita kamili tunasimama na kuimba wimbo huu, kisha tunaendelea na ibada
  8. E

    Nahisi kuna kitu kizito we subiri nione mchezo unapoishia

    Khaaaaaaaaa. Mpya hiii na kuishi kote duniani hapa.
  9. E

    Nahisi kuna kitu kizito we subiri nione mchezo unapoishia

    Hivi hujawahi kuona, mtu mweusi akazaa albino? Kwanini unawaza ujinga huo? Kwani umeangalia kwenu hakuna weupe au kwa mkeo? Mimi nakumbuka bibi yangu alikuwa anaangalia watoto wa mwanae wa kiume kwa kuangalia viganja vya mikono na husema huyu ni wa kwetu. Sasa kama wewe umeangalia viganja...
  10. E

    Habari za Kifo cha Magufuli zilivyonifikia nikiwa Gerezani

    Yaani mi nimeona kunyatiwa tu hapo.. ulipona kweli?
  11. E

    Now mil 50 UTT, napambana ifike mil 65 mwaka huu

    Hata mimi moyo wangu haujawahi kuwa tayari, sijui kwanini.
  12. E

    Regia Mtema Day; Biography Na Kitabu Cha Kero

    Nimesikitika sana RIP Sanctus!!
Back
Top Bottom