Mkuu nakupongeza kwa wazo zuri...Ili ufanye uwekezaji mzuri achana na free web,pili hyo "layout" kwa simu unaweza kuifanya ikawa vzuri zaidi na tatu Angalia lugha kama unawalenga wakulima basi weka kiswahili kote..
Naona uchambuz wenye ushabiki huu....Sasa ulitaka uingereza aisifie Barcelona au?...Kila mtu anasifia cha kwake....Liverpool mlianza kusema hv hv toka round ya makund haya sasa kafika fainali...
Pombe inaonekana kusifiwa na kutangazwa kwa mbwembwe....ila waliopatwa na madhara hawana ham (kisukari,family problem,work problem and.....) Kuokoka pekee ili Roho mtakatifu akusaidie kushinda hilo ila si mbnu za kawaida
Biblia si kitabu cha fasihi...ni Neno la Mungu na kudhihirisha si fasihi kila lililoandkwa kimetimia na kitaendelea kutimia.....Suala la Israel halikuanza leo wala jana fatilia historia ndgu
They introduce new technology...who didnt remember the so called six days in june...How Israel defend those five arab nations within few minutes?...the superior of Israel is biblical and no one can stop that
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.