Recent content by Engineer incharge

  1. Engineer incharge

    Spika Dkt. Tulia ingilia Kati Mgogoro huu wa ardhi jimboni kwako

    Toka mwaka 1974 nyie mmekuja 2014 na kuanza chokochoko mlikuwa wapi miaka yote ,shida mbeya sehemu zote ambazo ziko wazi na zina thamani kwa sasa wahuni kama nyie mnakuja na kusema hamjalipwa Mfano mwingine ni eneo la airport ya zamani ilipojengwa shule ya magufuli English medium baadhi wahuni...
  2. Engineer incharge

    Spika Dkt. Tulia ingilia Kati Mgogoro huu wa ardhi jimboni kwako

    Kuna muda inabidi waambiwe ukweli waache uhuni ,ndio maana sehemu kubwa ya jiji imejengwa kiholela lakini sehemu kubwa ya jiji miaka ya nyuma ilikuwa imepangwa na kupimwa na lakini hawa wanaojiita wenyeji wa asili wakija wanavamia maeneo ya barabara ,umma na taasisi kwa kusema babu zao...
  3. Engineer incharge

    Spika Dkt. Tulia ingilia Kati Mgogoro huu wa ardhi jimboni kwako

    Kwa bahati nzuri mgogoro huu naujua pia mm niseme ndugu zangu achaneni na ujanja ujanja na kuvunja sheria ,pia kupotosha watu ,hili eneo lipo kwenye hatimiliki pamoja na maeneo mengine ya Tari toka miaka hiyo nchi inapata uhuru ,eneo hili lilikuwa pori baadae mji ukaendelea ukalizunguka . Miaka...
  4. Engineer incharge

    Nimeambiwa nitafariki baada ya miezi 4 kutokana na kansa ya kongosho (pancreatic cancer stage 4)

    Mimi naona mdau aliyetoa taarifa kuwa mwenzetu ametangulia mbeye ya haki hajafanya kosa lolote sababu watu wengi apa walitaka kujua anaendeleaje .....Ila Ili la kusambaza picha zake HAPANA, sio jambo zuri
  5. Engineer incharge

    AZAM TV mnaamanisha nini kutulazimisha kuangalia taarifa ya habari via Azam App?

    Cha kushangaza ni iyo taarifa ya habari ya kwenye kingamuzi haionyeshwi , lakini kwenye app ipo live sasa sijui inatokea wapi
  6. Engineer incharge

    Nimeambiwa nitafariki baada ya miezi 4 kutokana na kansa ya kongosho (pancreatic cancer stage 4)

    Dah Mungu mwenye uweza wa yote akufanyie wepesi , Amen [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
  7. Engineer incharge

    Msaada natafuta hii dawa inaitwa diclor

    Msaada Natafuta hii dawa inaitwa diclor ,nimeitfuta pharmacy zote apa arusha sijaipata
  8. Engineer incharge

    Msaada wa njia rahisi ya kupokea pesa toka China kuja kwenye local bank account

    Habari za majukumu wakuu..naomba kujulishwa ni njia gani itapendeza zaidi ya kupokea pesa toka uchina kuja kwenye account ya benki (equity bank ) .
  9. Engineer incharge

    Special thread: Kwa waombaji wote wa mikopo 2017/2018 (HESLB)

    Sometimes kama unatumia computer na access internet kupitia cable uwa inaleta shida....kama una modem tumia iyo kufungua iyo website ya bodi Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Engineer incharge

    Special thread: Kwa waombaji wote wa mikopo 2017/2018 (HESLB)

    Kama niliona sehemu kuwa bodi 2017/18 itatoa mikopo kwa wataosoma diploma ya science/ mathematics with education na diploma ya primary school education ( mathematics/ science) Msaada wenu wakuu kwa anayejua vizuri hii issue imekaa vipi... Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Engineer incharge

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Kwa watu walio mbeya town na tupo interested na hii kitu tunaweza kuwasiliana hata kukutana physically tukabadilishana experience, skills na pia kufanya mipango kwa pamoja tutahudhuria vp pindi za mkuu ontario
Back
Top Bottom