Hongera sana mkuu, unaweza ku share nasi jinsi ulivyoweza kuisimamia biashara yako vizuri hadi mpaka sasa inakuwezesha kupata gari ya tatu. Pia naomba kujua Zanzibar unanua sh ngapi, gharama zote hadi inaingia barabarani kuanza kazi ina range kwenye sh ngapi na pia kwa siku dereva analeta sh...
OK IPILIMO. Kwa sasa nimeshaanza mchakato wa BRELA.. Nikimalizana na Brela naweza kukutafuta kujua way forward na niweze kusajiri kwenye institution nyingine kama TRA na halmashauri. Ntashukuru kama utanisaidia kujua Kampuni ya usafi ina operate under institution gani? Kwa mfano kampuni ya...
Habari Wakuu
Nataka kufungua kampuni ya usafi, ambayo itakuwa inafanya usafi katika maofisi, manispaa, mashuleni, majengo ya biashara nk. Naomba mwenye details za kutosha za jinsi ya kusajiri kampuni na hatimaye kufungua kampuni ya usafi anisaidie.
Najua hatua ya kwanza natakiwa niende Brela...
Habari Wakuu
Nataka kufungua kampuni ya usafi, ambayo itakuwa inafanya usafi katika maofisi, manispaa, mashuleni, majengo ya biashara nk. Naomba mwenye details za kutosha za jinsi ya kusajiri kampuni na hatimaye kufungua kampuni ya usafi anisaidie.
Najua hatua ya kwanza natakiwa niende Brela...
Thanks Kubota kwa kuleta uzi huu. Shukrani pia kwa wachangiaji wote. Nina maswali machache kuhusu hili zao hope Kubota, Malila, Mama Timmy, Goodmother au yeyote atakaepitia huu uzi anaweza kunisaidia
1) Kigamboni Dar Es Salaam linaweza kustawi?
2) Kama jibu la kwanza ni ndio, ni miezi ipi mizuri...
Hongera sana mkuu. Umejiwekea malengo mazuri sana, Big up sana. Business yako imeenda vizuri sana na imekuwa vizuri sana. Thanks kwa kuweka huu uzi hope tutajifunza mengi sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.