Recent content by Eng Kimox Kimokole

  1. Eng Kimox Kimokole

    Kushtaki Kampuni za Mikopo (Microfinance)

    Hata nikiblock wakituma sms zinakuja
  2. Eng Kimox Kimokole

    Kushtaki Kampuni za Mikopo (Microfinance)

    Nadhani namba wamechukua Utumishi kwa sababu sijawahi kuwa na uhusiano wowote na mikopo
  3. Eng Kimox Kimokole

    Kushtaki Kampuni za Mikopo (Microfinance)

    Ndio maana nimeuliza kwa sababu sijawahi kuingia nao mkataba wa wao kunitumia sms na kunisumbua
  4. Eng Kimox Kimokole

    Kushtaki Kampuni za Mikopo (Microfinance)

    Habari wanaJF? Nimekuwa nikipokea meseji (sms) nyingi sana za Vikampuni vya mikopo mara kwa mara. Yaani kwa siku unaweza kutuniwa msg tatu mpaka tano. Nimewasiliana na hizi Microfinance kwa namba zao zinazotumika kutuma sms wengine wanajibu tutakuondoa wengine wananyamaza kimya. Je! Kuna namna...
  5. Eng Kimox Kimokole

    Deni la Taifa ni giza tuendako

    Swali zuri sana
  6. Eng Kimox Kimokole

    Deni la Taifa ni giza tuendako

    JPM hakuwa wa ng'ambo ile lakini...
  7. Eng Kimox Kimokole

    Deni la Taifa ni giza tuendako

    Pasua kichwa hizi siasa, labda nirudi zangu kutunga hadithi :D:D
  8. Eng Kimox Kimokole

    Deni la Taifa ni giza tuendako

    😂😂😂😂
  9. Eng Kimox Kimokole

    Deni la Taifa ni giza tuendako

    DENI LA TAIFA NA GIZA TUENDAKO 1961 - 1985 Chini ya utawala wa Mwl. Nyerere (RIP) aliyetawala kwa takriban miaka 25, pamoja na vita ya mwaka 1978-1979 na Idi Amini wa Uganda, mpaka anang'atuka madarakani Deni la Taifa lilikuwa trilioni 3 pekee. 1985 - 1995 Kwenye utawala wa Ali Hassan Mwinyi...
  10. Eng Kimox Kimokole

    Tangazo la Kazi: Sales Representative

    Ukishajibu namna hii maana yake huoni umuhimu ila wanaouona watakuwa wametuma maombi
  11. Eng Kimox Kimokole

    Tangazo la Kazi: Sales Representative

    Sales Representative
  12. Eng Kimox Kimokole

    Upgrading Old Mac Computers to latest OSX Versions and New Apps (Kuhuisha Mac ya zamani kwenda OS na Program Mpya)

    Sahihi kabisa, asante kwa ushuhuda huu. Mi nilianza kuweka OSX kwenye PCs tangu 2007 kwa hiyo nazielewa vyema sana hizi mambo
  13. Eng Kimox Kimokole

    Upgrading Old Mac Computers to latest OSX Versions and New Apps (Kuhuisha Mac ya zamani kwenda OS na Program Mpya)

    Nakwambia kitu ambacho nina uhakika nacho. Inafanya poa tu. Hebu tazama hapa hii specs na iko poa kabisa
Back
Top Bottom