mawazo mufilisi.!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
umesoma katiba ya chadema na kukuta kwamba ni chama cha kikrito, au sera za kutetea watu ndiyo za kikristo?
kama upo sahihi peleka malalamiko yako na vielelezo kwa tendwa ili akifute mara moja, katiba yetu...
asante kwa taharifa, lakini tusisahau wazo zuri la kuboresha au kuharibu linaanzishwa na mtu mmoja. maoni yangu wadhibitiwe mapema kabla mambo hajawa mabaya
kinachouma zaidi ni pale anapokufa kwasababu hutamwona tena. ukimfumania ki2 haifutiki unaweza bado kugonga kama una moyo, imani na uvumilivu (umesahau ya bill Clinton na zele...)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.