Kukutana na Black Mamba:
Faida (kwa binadamu):
Black mamba humpenda kutoroka zaidi kuliko kushambulia.
Ikiwa humkanyagi au kumtisha sana, mara nyingi hatashambulia.
Una nafasi ya kuishi ikiwa uko mbali kidogo na unatoa nafasi ya kutoroka.
Hasara:
Ikitokea akushambulie, sumu yake ni hatari...
Wimbi la vijana siku hizi kukosa ajira ni kubwa sana
Kuna kijana yupo hapa nyumbani ni anahitaji kibarua chochote amemaliza chuo juzi kati kada ya ugavi na ununuzi ngazi ya diploma yupo tayari kufanya shughuli yoyote kwa sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.