Recent content by ene way

  1. E

    JamiiForums Tanzania Derby day Juni 15 Yanga itasafiri kucheza na Rayon sports Rwanda

    Asante sana yanga ni mkombozi wa ligi
  2. E

    JamiiForums Tanzania Sio mwana×2 Ngoma sio yako unaicheza! Unaicheza.. Huko ni kuvuka Mipaka

    Ngoma siyo yake Ngoma ni ya chadema
  3. E

    JamiiForums Tanzania Yupi ni hatari?

    Kukutana na Black Mamba: Faida (kwa binadamu): Black mamba humpenda kutoroka zaidi kuliko kushambulia. Ikiwa humkanyagi au kumtisha sana, mara nyingi hatashambulia. Una nafasi ya kuishi ikiwa uko mbali kidogo na unatoa nafasi ya kutoroka. Hasara: Ikitokea akushambulie, sumu yake ni hatari...
  4. E

    JamiiForums Tanzania Ni kweli watu wenye vichwa vidogo huwa hawana akili ?

    Mmenifariji san,,
  5. E

    JamiiForums Tanzania Nahisi kukata tamaa. Nifanye nini kujinasua?

    "nahitaji mambo yafunguke maisha mengine yaendelee kama wengine wanavyofurahia maisha "
  6. E

    JamiiForums Tanzania Msaada wa shughuli/kazi yoyote kwa ajili ya kujipatia kipato

    Wimbi la vijana siku hizi kukosa ajira ni kubwa sana Kuna kijana yupo hapa nyumbani ni anahitaji kibarua chochote amemaliza chuo juzi kati kada ya ugavi na ununuzi ngazi ya diploma yupo tayari kufanya shughuli yoyote kwa sasa
Back
Top Bottom