Recent content by Encryption

  1. Encryption

    JamiiForums Usiku wa manane

    02:14 am, mimi ni wa mwisho kwa leo. Wote wamelala😥
  2. Encryption

    Wadau sasa hapa natokaje..?

    Unakosaje hata sehemu ya kwenda?? Yaani umekosa hata safari ya Dharula ya kwenda Mkoani????? Unaaga unaenda Mkoani kwa wote wawili, kisha unatafta manzi mpya unaenda kulalanaye lodge mpaka Tarehe 25 unarudi Mjini.
  3. Encryption

    KERO Responded Hii Barabara ya Dodoma – Iringa ni hatari kwa usalama wa watu na vyombo vinavyopita

    Mkuu, Fuatilia vizuri. Jiwe la msingi lipo pale Dodoma Maghorofani. Alizindua Boss wake Magufuli na sio yeye
  4. Encryption

    KERO Responded Hii Barabara ya Dodoma – Iringa ni hatari kwa usalama wa watu na vyombo vinavyopita

    Jamaa alikua waziri, na nasikia alikataa kuizindua hiyo Barabara kwasababu hakuridhishwa na kiwango cha ujenzi. Lakini boss wake akaenda kuzindua.
  5. Encryption

    Hayati Magufuli kukataa kufanya tathmini ya mazingira bwawa la Nyerere, sasa Rufiji inazama, serikali ifanye tathmini ya mazingira sasa

    https://m.youtube.com/watch?v=XskpUvl19tI Ni mwaka 2020 yalitoke mafuriko huko Rufiji. Morogoro kujaa maji ni miaka yote inajaaga. Inakuaje tena tumehamishia kwenye ishu ya bwawa la mwalimu?
  6. Encryption

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Boom[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
  7. Encryption

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    069B8B9 Bet power Weekend Njema
Back
Top Bottom