Recent content by emyz

  1. emyz

    Ufafanuzi: Muuguzi aliyemchoma chanjo Mhe. Rais Samia na viongozi wengine kutovaa mipira ya mikono (gloves)

    Asante kwa ufafanuzi, msichoke kutuelimisha kwani ni kipindi cha mpito hivyo udadisi utakuwa kwa kila jambo hatakama kwenu wataalamu mtaliona la kijinga,
  2. emyz

    Nini kazi ya Ada shuleni? Kwa nini sasa Wizi wa wazi?

    Inakera, ushalipa ada unaambiwa mara study tour, kitambulisho, calculator, A4 80g plain papers rim moja, matibabu/afya, marndeleo ya shule. n.k sasa hiyo ada ya mwaka 3,000,000/= kazi yake nini? Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
  3. emyz

    Faida za Ugonjwa Wa Covid 19 Duniani

    Pia kuionesha dunia kuwa si kila jambo baya asili yake ni Afrika. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. emyz

    Iran yatungua Drone ya US RQ-4 Global Hawk

    Kweli, si miaka ya 1990's tu hadi sasa mipango ya chinichini ipo. sio rahisi kuibomoa Iran.
  5. emyz

    Mh.Makonda umejikwaa kidogo kumshambulia Pierre!

    Amemnogesha zaidi Sent using Jamii Forums mobile app
  6. emyz

    Jinsi ya kufukuza mbu: Rahisi sana

    Asante kwa maarifa hayo.
Back
Top Bottom