Asante kwa ufafanuzi, msichoke kutuelimisha kwani ni kipindi cha mpito hivyo udadisi utakuwa kwa kila jambo hatakama kwenu wataalamu mtaliona la kijinga,
Inakera, ushalipa ada unaambiwa mara study tour, kitambulisho, calculator, A4 80g plain papers rim moja, matibabu/afya, marndeleo ya shule. n.k sasa hiyo ada ya mwaka 3,000,000/= kazi yake nini?
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.