Recent content by Emojis

  1. Emojis

    Mtihani: Sina kazi ila nimepata fursa ya kutengeneza filamu za ngono nje ya nchi

    MI nadhani mhusika ulileta Mada kutujulisha na sio kuomba ushauri mana ushauri wote unaopewa ukiwa kinyume na ww unaupinga. Na unatoa maelezo ya kujihakikishia kabixa kile Umeamua kipo sawa Sasa sijui Kwann unajifanya kutaka ushauri wakati unauhakika 'na lile unaenda kufanya. Sijui bado una...
  2. Emojis

    Wanawake wa kijapani ndio dili

    Usilaumu maumbo ya wadada kisa tu ya kibamia chako [emoji16][emoji16][emoji16] Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Emojis

    Wanaume ondoeni vitambi vinatukera sana wanawake

    Wanaume hawapendi kukosolewa utapewa mapovu bure dada angu Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Emojis

    Nataka nijaribu viagra, ni hatari au?

    Ikiwa kwa mwanaume watu hutoa ushauri kama cheating ni kawaida tu. Ikiwa kwa mwanamke sass utasikia mapovu si ya nchi hii duuuh Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Emojis

    Roho imeniuma sana

    [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Sasa kutoka kazin kwake hatumii nauli mpaka arudie miatano duuh pole mwaya Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Emojis

    Wadada mkipata kazi muwe na heshima na busara

    Acha basi mie najua mtu ukiwa huna time nae wala hakushughulishi ni kama hayupo duniani. Ukiona mtu mpaka unamuwazia hivyo jua anakushughulisha hapo unajifariji tu kudhan humpendi kumbe ni kinyune chake Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Emojis

    Weekend Story! Glory Be To God!

    Fanani anachakachua story sio kwa ukimya huo Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Emojis

    Kuwa Gentleman, Mwanamke akiamua kukutunuku anakutunuku kiroho safi

    Duuh jamani hivi wanawake hawanaga zawadi nyingine zaidi ya papuchi? Hawez rudisha fadhila nyingine zaidi ya uchi. Too sad aisee mie naona huo ni mwanzo tu ipo siku atakutafta mrudie mechi Tena 'na itakuwa hivyo hivyo Tena 'na tena Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Emojis

    Mrejesho namba 2: Siku 45 nje ya puli, aibu hii itaisha lini?

    Hivi mkiwa mnaanza huo mchezo huwa mnacheck saa Kwanza na Kujua saa hivi ni saa hii naanza? Hizo dakika sitini ulizozisema zote ulikuwa una pump tu ama yakiwemo 'na maandaliz? Promo zingine bhana Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Emojis

    Tunauza Samaki aina zote

    Ndio hivyo. Tatizo watazania sijui Nani katuloga tunapenda maneno maneno mengi matendo Hakuna, mtu Anakuja hapa sio kama anataka samaki anakuja kuponda tu, hivi viwanda vinavyofroze samaki mnavijua? Hao samaki wanatoka mbinguni ama? Mtu Kama uko serious utafika eneo husika uuziwe samaki uende...
  11. Emojis

    Tunauza Samaki aina zote

    Jamani naona watu wengi hawaelewi. Narudia tena Kuna samaki wakubwa kwaajili ya fileti tu ambao ndio wanakuwa processed kwenda soko la ulaya. Na Kuna samaki size hyo niliyoitaja huuzwa kwa wafanyabiashara kama sisi. Hawa hawasafilishwi nje ya nchi unaposema wamezuiwa unataka kunambia wewe...
  12. Emojis

    Msaada: Mzazi mwenzangu ameniganda au kuning'ang'nia

    We nadhani unaongea kwa kukariri eti siku zao wanazijua. Laiti kama wanaume mngekuwa mnabeba mimba mngeongoza kwa kuzaa kuliko wanawake. Usikariri biology ya form three wewe mzunguko wa mwanamke hubadilika usidhan ulivyokalilishwa siku ya 14 utapata mtoto wote hupata watoto siku hyo nk. Na kila...
  13. Emojis

    Msaada: Mzazi mwenzangu ameniganda au kuning'ang'nia

    Sikatai Kuna sponsors wachache sana tunaowaona Lakin humu jf duuh karibia kila mwanaume huhudumia vizuri wengine wanatuambia demu wake anaruhusa ya kwenda kwenye business yake akachukua kiasi anachotaka nk ukija kwenye mtaji Sasa Mara nilikuwa nimemtunzia mtaji wa mil 5,10,20 nk au nilimpa mil...
  14. Emojis

    Msaada: Mzazi mwenzangu ameniganda au kuning'ang'nia

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani ni shida Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Emojis

    Nifanye nini ili nimkazie kama anavyonikazia? maana hanitafuti na nikimtafuta ananijibu shortcut

    Mbona hapo mwisho sisi umeweza kutukazia na kutupa angalizo kwake unashindwa nini, au sie umetudharau sana kama una ujasiri wa kutupa angalizo nini kinakushinda kwake Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom