Recent content by Emmaty

  1. E

    Mume wangu hasimamishi, nifanyaje?!

    Inaweza kuwa ila kama hayajakukuta tulia ndugu
  2. E

    Tanzia: Msanii YP wa kundi la 'Wanaume TMK' afariki dunia

    Ndiyo kujifunza, kumbe moshi siyo ishu, jamani maradhi ya kifua nomaa! R.I.P. YP!!
  3. E

    Wapi ilipo ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Dodoma?

    ...tafuta ramani ya Dodoma wewe, una bahati Dodoma hakuna wa"father"ishaji utapotea, hapa mjini!
  4. E

    Nafasi ya kazi, Kinyozi

    salun gani hiyo!!
  5. E

    Nafasi za kazi Save The Children, jaribu bahari yako

    ...sawa na kupanda meli ya "titanic"
  6. E

    Kuingia kwa machine za kufanyia mapenzi

    Sex Machine zipo na watu wanazitumia ila sema mtu hawezi jijulisha kuhusu hilo kwani ni upumbav huo na haina tofauti na punyeto kwani ni sawa na kulala na maiti na wengi huko zilikoanzia wameshakuwa machizi ; binadamu siyo mashine hatumii umeme na siku likipiga shoti na aliyekuwa anafanya game...
  7. E

    Amwagi kabisa

    FANYIA KAZI USHAURI HUU: inaonesha homoni zake za testes hazipo vizuri; ale kila siku karanga za kukaanga kiasi cha gramu 100 yani asubuhi gramu 50, na jioni 50 kila siku kwa siku 30 na ndani ya muda huo asitanie testes aziache zijijenge yani asijihusishe na kufanya ngono wala punyeto; akae...
  8. E

    Kwa wanao tafuta wachumba tu!!!!!!!!!!

    ... Unataka jua liwake usiku au!?
  9. E

    Kitomar2 ni jambaz kanitapeli

    pole petty! jua wazi kuwa mtandao siyo sehemu ya kuaminia kufanya biashara..kwanza ona watu wengi wana'nick names' kwanini wanaogopa kuweka majina yao halisi kama mimi au baadhi ya watu ambao hawapendi ubabaishaji!? naomba nikutoe wasiwasi kuwa pesa haziishi ndugu yangu tafuta kwa nguvu na...
  10. E

    Buni wazo la biashara mtaji juu yangu

    Mkuu nunua vifaa vya ku'repair electronic devices kama vile phones,radios,videos,receivers, pianos,irons etc., halafu kabidhi kijana yeyote mwenye fani ya ufundi kama mimi na muwe mnagawa mapato kila mwezi sawa kwa sawa ungepata mafanikio makubwa sana baada ya miaka miwili au mitatu... kikubwa...
  11. E

    Nauza Laptop bei Tshs 200,000

    mi naona kama screen ime'dead!!
  12. E

    Fursa kwa mtaalamu wa Kiswahili

    siku saba ndiyo mkataba gani huo!?
  13. E

    Jifunze njia mbadala za kupambana na maisha na kujipatia kipato

    ....ghafla sana mkuu kwa sisi wa mikoani ndo kwa herrr hivo!?
  14. E

    Nafasi za Kazi; Mohammed Enterprises Tanzania Limited

    Deadline 26 August 2011 Inawezekana hii post waliisahau mbona ilisha expire "dhamani" "thaaaana"!!!
Back
Top Bottom