Sex Machine zipo na watu wanazitumia ila sema mtu hawezi jijulisha kuhusu hilo kwani ni upumbav huo na haina tofauti na punyeto kwani ni sawa na kulala na maiti na wengi huko zilikoanzia wameshakuwa machizi ; binadamu siyo mashine hatumii umeme na siku likipiga shoti na aliyekuwa anafanya game...
FANYIA KAZI USHAURI HUU: inaonesha homoni zake za testes hazipo vizuri;
ale kila siku karanga za kukaanga kiasi cha gramu 100 yani asubuhi gramu 50, na jioni 50 kila siku kwa siku 30 na ndani ya muda huo asitanie testes aziache zijijenge yani asijihusishe na kufanya ngono wala punyeto; akae...
pole petty!
jua wazi kuwa mtandao siyo sehemu ya kuaminia kufanya biashara..kwanza ona watu wengi wana'nick names' kwanini wanaogopa kuweka majina yao halisi kama mimi au baadhi ya watu ambao hawapendi ubabaishaji!?
naomba nikutoe wasiwasi kuwa pesa haziishi ndugu yangu tafuta kwa nguvu na...
Mkuu nunua vifaa vya ku'repair electronic devices kama vile phones,radios,videos,receivers, pianos,irons etc., halafu kabidhi kijana yeyote mwenye fani ya ufundi kama mimi na muwe mnagawa mapato kila mwezi sawa kwa sawa ungepata mafanikio makubwa sana baada ya miaka miwili au mitatu... kikubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.