linguistics
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 4,732
- 4,393
Kwa iyo unaenda police kuomba kibali cha kuandamana au?
unaogopa kukubali kushindwa??
Kwa iyo unaenda police kuomba kibali cha kuandamana au?
Jibu maswali one by oneWe ubongo wako unamatundu kama chujio unajua maana ya tetesi?
Ama hakika NYANI HAONI KUNDULE. Huo UTUMBO ulioandika ulitarajia upate majibu gani!!!?? Wewe KIAZI kwelikweli.We ubongo wako unamatundu kama chujio unajua maana ya tetesi?
Hayo makapuni wamekutuma ukawaulizie hayo maswali?
na dada zetu watahudumiwa na nani zikiletwa mashine?
Ama hakika NYANI HAONI KUNDULE. Huo UTUMBO ulioandika ulitarajia upate majibu gani!!!?? Wewe KIAZI kwelikweli.
Ama hakika NYANI HAONI KUNDULE. Huo UTUMBO ulioandika ulitarajia upate majibu gani!!!?? Wewe KIAZI kwelikweli.
Asante kwa "taharifa" ..... wamekamata fursa tu
Hellow,kuna taharifa nimezipa kua kuna kampuni kadhaa zimeomba kuingiza vifaa mbalimbali za kuliwaza kuchukua nafasi ya wenza kwa wasiokua nao.
Machine izo ni kubwa zenye shepu mbalimbali za kike na zakiume yaan tofauti ni ndogo sana na maumbile ya me au ke.kwenye machine izo unaweza kuweka joto unalolihitaji,milio yoyote unayoitaka mtumiaji.makampuni ni ya Japan na France vifaa ivyo ni matoleo mapya kabisa na Africa viko south Africa tu.
Sasa nataka mawazo yko je kampuni hizi zipewe kibali cha kuuza vitu ivo au wasipewe, utoe na sababu kutokana na jibu lako.
Wapi hapo katika taarifa yako ya awali ulipotumia neno tetesi?
Do, hii jamii ya hapa mi huwa hata siilewielwi, kwana mleta mada kafanya kosa gani hadi ashambuliwe kiasi hicho? Yeye alichoomba ni mitizamo ya kila mwana jamii atakaejisilia kuchangia. Sasa hayo mengine yametoka wapi? Iwe kweli au si kweli bado kila mtu anahaki ya kutoa kile anachofikiri kuwa kinafaa kupatiwa uchanganuzi hapa jukwaani.
Do, hii jamii ya hapa mi huwa hata siilewielwi, kwana mleta mada kafanya kosa gani hadi ashambuliwe kiasi hicho? Yeye alichoomba ni mitizamo ya kila mwana jamii atakaejisilia kuchangia. Sasa hayo mengine yametoka wapi? Iwe kweli au si kweli bado kila mtu anahaki ya kutoa kile anachofikiri kuwa kinafaa kupatiwa uchanganuzi hapa jukwaani. Najumbuka issue kama hii iliwahi kuletwa na mtu mmoja hapa jamvini na ikajadiliwa vizuri kabisa. Najaribu kukiuliza, dhambi ya huyu mwenzetu iko wapi? Au tuna madaraja hapa ndani, kwamba wengine wanaweza kutoa mawazo yao na yakajadiliwa na wengine hawaruhusiwi!? Hebu tuweni wastaarabu.