Recent content by emmanuelstanslaus

  1. E

    Mume na mke...

    Mke chizi huyo!!!.!!!..
  2. E

    Majibu kwa Nape, Ridhiwan Kikwete na wengine kuhusu elimu yangu na niliposoma

    Mheshimiwa Mnyika!! Wew ni kichwa na tunakukubali zaidi ya makaratasi ya Vyuo, kwani si wote kweli waliosoma ndio wanauwezo wakuongoza Nchi kwa Ustadi NO bali Uwezo wa Mtu aliojaliwa na Mungu na Jitihada zakutaka kuongea Elimu Dunia ili kuwa naufahamu na Hekima za kuongoza watu!! Muheshimiwa uko...
  3. E

    Kanisa lanusurika kuteketea kwa moto Zanzibar asubuhi ya leo...

    Sasa hii nayo is tooo much!! Lawama ni kwa hawa ndugu zetu Waislam haikwepeki imekuwa dhahili sana kwamba wamekusudia! kama ni huu Muungano kwakweli kutokana na huu mchakato wa KATIBA huu Muungano uangaliwe sana sana...
  4. E

    Clouds FM (Power Breakfast): Ni sahihi kabisa Bunge lisionyeshwe LIVE!

    Hakuna upumbavu kama huo kukubalika katika nchi yetu, kwani kipindi choooote ilikuwaje au wanataka watanzania tuzidi kuwa gizani????? kwani mim mwenyewe kwa kusikiliza nakufatilia mambo ya bunge ndio nikaanza kujua mambo mengi nakufunguka macho jinsi ya MAUFISADI NA WIZI wa mali za watanzania...
Back
Top Bottom