Kuwa watumwa wa wazungu,waarabu hakujaisha na hakutaisha hapa Tz sababu wajinga wengi sana.mtz zama hizi at bado anamthamin sana mkoloni kuliko yeye mwenyewe ni ujinga, .Tunafikia akifa/akiuwa tembo,simba,fisi,pundamilia,nyangumi nk at wanaojiita viongozi wa sirikari fulu kujibalaguza at...