Kipo boko opposite bagamoyo road kipo vizur but wanafunzi wengi wamepanga kitaa so wahi katafute chumba ila mazingira ni mazur
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma vizur waraka no 5 unasema wote waliodahiliwa chini ya Nacte watamalizia kwa mfumo huo wa NTA ,isipo kuwa wale wanao anza cc watakuwa chini ya NECTA na watasoma cheti,hivyo usiwe na hofu soma na maliza masomo yako ya diploma wewe sio mhanga kama ulivyo sema
Ualimu primary ngazi ya cheti wanachukua mwisho division 3,but kama amefaulu sayansi walau kuanzia daraja kwa masomo biology, chemistry, na physics mpeleke akasome afya
Acha zarau za kijinga,rais wa kwanza Mwalimu ,wa pili Mwalimu ,wa tano Mwalimu pamoja na wazir Mkuu.je kuna kada nyingine ilishatoa rais zaidi ya ualimu
Acha umbumbumbu walimu ni kada ya walio soma kuliko wote mf ngazi ya cheti kada zingine wanachukua kuanzia d 4 na kuendelea lkn ualimu ngazi ya cheti wanachukua division 3 we vipi unashindwa kujiongeza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.