Recent content by Emmanuel Ndegeya

  1. Emmanuel Ndegeya

    KERO Responded Kukosekana kwa huduma ya maji Kibaha - Pangani - Mtakuja kwa miaka minne sasa

    Hii ni kero inayowatafuna wakazi wa kibaha hadi sasa, na ahadi za mara kwa mara za ujenzi wa Tank jipya lakini hamna kinacho endelea. Dawasa Kibaha na wizara ya maji mbona hamchukui hatua??
  2. Emmanuel Ndegeya

    KERO Responded Tatizo la Upatikanaji wa Maji Kibaha Mji kata ya Pangani na Vitongoji vyake

    Shida ya maji Kata ya Pangani, Halmashauri ya Kibaha Mji Mkoa wa Pwani. Ndugu Admin/moderator naomba kutoa malalamiko yangu juu ya wizara ya Maji, kwani pamekua na shida ya maji miaka nenda rudi sasa kwa wakazi wa Kata ya Pangani mitaa ya Mtakuja, Kidimu, Pangani yenyewe na mitaa mingine...
  3. Emmanuel Ndegeya

    Hivi kuna nini kati ya Clouds FM na Makonda?

    Wale jamaa wanafki sana, sio mbowe tu, kebehi kwa Manji,kwa majizo, watu walikua wanachora tu
  4. Emmanuel Ndegeya

    Hivi kuna nini kati ya Clouds FM na Makonda?

    Wanafanya u wana kwenye vitu vya msingi wanaleta usanii, wacha wajipotezee soko, cc wengine tulisha waacha hata kuwasikiliza
  5. Emmanuel Ndegeya

    Hivi kuna nini kati ya Clouds FM na Makonda?

    [emoji736] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  6. Emmanuel Ndegeya

    Hivi kuna nini kati ya Clouds FM na Makonda?

    Hata hua cwasikilizi tena, siku hizi wamekua wapambe sio waelimishaji
  7. Emmanuel Ndegeya

    Kwa walioanza kukatwa 15% ya Bodi ya mikopo

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  8. Emmanuel Ndegeya

    Maproducer wa bongo huja na kupotea kama upepo. msichachawe na Mr. T Touch

    Ukisikilza madai ya kila mmoj unakuja ona Nay ni mkora, coz alikua anamtesa mchizi kisa anatumia vyombo vyake pale free nation , jamaa akaona ajieengue ndo kufungua yake, baada ya hapo nay ndo kaanza manenk bt msela(T.touch), kaanza kujibu shutma zake juzi kati tu hapa baada ya Nay kua anaongea...
  9. Emmanuel Ndegeya

    Baada ya Dr.Kigwangala, Mwigulu, sasa ni zamu ya Makonda kuhusu jina, hii inaweza kuwa kweli au?

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  10. Emmanuel Ndegeya

    Manji atakiwa kuripoti Ofisi za Mamlaka ya Uhamiaji. Pasi 126 za kusafiria zakamatwa ofisini kwake

    Za madawa zimeishia wapi?au ndo wamekosa cha kumconvict?
  11. Emmanuel Ndegeya

    Askofu Gwajima: Makonda ni kombora ambalo halijaelekezwa pa kutua, linaweza kutua sehemu yoyote!

    Kesho lazima atoke tu hamna namna, ila bro RC kweli kachemsha ktk hili duuu, inabidi taasisi na walioapishwa leo waje wafanye kaz yao sass kwa umakini, weledi na utashi wa hali ya juu sio kwa ukurupukaji huu
  12. Emmanuel Ndegeya

    Looking for partiners in Opening a small industry

    Nicheki kwa no yangu tutaongea zaidi bro
Back
Top Bottom