Recent content by emmanuel magige

  1. E

    Leo ni siku ya kukumbuka kifo cha hayati Mwalimu J.K. Nyerere

    leo ni takriban miaka 13 toka muasisi wa Taifa hili afariki dunia namuombea kwa Mola amlaze mahala pema pepon Nchi yetu haijapiga hatua yyt toka mwalimu Nyerere aiage dunia kwan viongoz we2 wamekuwa hawana nia nzur na taifa letu. Tizama viongoz wamekalia ufisad na huku taifa likizd kuwa maskini...
  2. E

    Kama ulituma maombi wizara ya afya. Na km uko Dsm pia inakuhusu!

    Unachokifanya haukijui nan alikudanganya kuwa kufel form 4 au 6 ni ujinga. Fikiria? Na pia hao ma c.o unafkir wanakuja kufundsha bla kupewa mafunzo? Ni kupe siri ma c.o wanaumuhimu mkubwa kuliko ht unavyofkr.
  3. E

    Kama ulituma maombi wizara ya afya. Na km uko Dsm pia inakuhusu!

    Unajua maana ya clinical officer? au unajua objective za clinical officer? Unajua madhara ya kutokuwepo na clinical officer? thn jitahd sna kuheshimu kaz za wenzako. Na uwe una2mia kauli nzur. Na pia unafikiria ma c.o ni wajinga fikiria mara mbili mbili.
  4. E

    Matokeo lini.

    Matokeo ya afya yanatoka kesho kutwa.
  5. E

    Wa wizara ya afya

    Cjakuelewa kaka?
  6. E

    Wa wizara ya afya

    Ebu nakuomba unichek kupitia emmanuelmagige89@gmail.com. Nataka nikuulze k2 private sor lakn plz nakuomba.
  7. E

    Wa wizara ya afya

    Niambie bac km yamebandikwa nimuagize m2 akaniangalizie.
  8. E

    Wa wizara ya afya

    Punguza jazba dada yng kuulza cyo ujinga unajua 2medanganywa sna kuwa matokeo yametoka kumbe cyo. Sor km haujapenda.
  9. E

    Wa wizara ya afya

    Dada yng punguza jazba kuulza cyo ujinga mie nko nje ya Dar na nilikwsha danganywa mara kibao kuwa matokeo ya wizara ya afya yametoka kumbe nothing. Lakn ucjal km nimekukwaza sor.
  10. E

    Wa wizara ya afya

    Plz, sema kwel.
  11. E

    Kama unajua usisite Tafadhali nisaidie

    Samahan kwa majibu yangu.
  12. E

    Kama unajua usisite Tafadhali nisaidie

    Mr. Kicheko, samahan kwa kaul zng mbaya kwako nisamehe.
  13. E

    Kama unajua usisite Tafadhali nisaidie

    Samahan kwa majibu yng mabaya.
Back
Top Bottom