Michael Bosco
Member
- Jan 10, 2010
- 85
- 47
- Thread starter
- #21
Plz, sema kwel.
haha nakuja kwenye hamna
Plz, sema kwel.
tumefunga office mpaka jtatu utayapata kwenye net au daily news, mwananchi.hukutaka kuamini toka mwanzo.
haha nakuja kwenye hamna
tumefunga office mpaka jtatu utayapata kwenye net au daily news, mwananchi.hukutaka kuamini toka mwanzo.
tumefunga office mpaka jtatu utayapata kwenye net au daily news, mwananchi.hukutaka kuamini toka mwanzo.
Wataweka labda mishale ya alasiri.Leo bado haijaisha tuvute subira kiume.
mbona rombo girl alikuwa na uhakika hvi kama yanatoka leo halafu cjaona atupe feedback yoyote mpaka sasa
yeye kama nani mpaka akupe uakika ? vt jumatatu ijayo
Enheee! niambieni vp majibu yameshatoka au?Leo website yao imefunguka ila haina kipya chochote.
nna wasiwasi wamepoteza form zote za waombaji, sijui km hawatoambiwa waombe tena