Michael Bosco
Member
- Jan 10, 2010
- 85
- 47
Sasa hii imekuwa to much maana tumekaa banch mpaka tumechoka sa nahisi mpaka viwango vya watu vimepungua kwa ajili ya strees ngoja tu tusubiri mpaka hiyo tar. 15 kama ni kweli maana tumezoea kupigwa kalenda ila ingekuwa wtoto wao wangewahisha