emmanuel magige
Member
- Jul 14, 2012
- 60
- 4
samahan kaka/dada zangu natumia simu ya nokia 6120C nikiwa natuma Multimedia Msg{MMS} zinafail na pia nikiwa ninatuma e-mail inakataa. Na line ninayo2mia ni ya vodacom
Naomben msaada wenu au configuration/setting za e-mail kwa kutumia voda.
Naomben msaada wenu au configuration/setting za e-mail kwa kutumia voda.