Yaani ndugu yangu kumbe ni kisirani kukosa nafasi udsm hivi je,huyo mtu wako angepata mafasi ungeyasema hayo?Chuo hicho achana nachoaana historian yake ni kubwa,unaposema hayo unaoneka km hujitambui,sasa kwanini ulikuwa unaomba nafasi hapo kama unajua hakina sifa?
Acheni unazi wanasimba mnaposema yanga anapendelewa ni sawasawa na Tania ya mwanamke ya kulamika eti tunapendelewa kwanni nyinyi msipendelewe jiulizeni,yaani wanasimba inaonekana hamjakomaa kisokacnimegundua nyie ni washabiki ila sio wanasoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.