Recent content by emmadizzo

  1. emmadizzo

    Arusha wajipanga kumpokea RC Makonda

    Uchawa ni kazi ngumu sana.
  2. emmadizzo

    Msifananishe Shambulio la Ole Sendeka na kupigwa risasi kwa Tundu Lissu

    Kama mnabisha Sendeka kupona kwenye ilo shambulizi je tusiamini kupona kwa lissu pia au nalo lilitengenezwa?
  3. emmadizzo

    Nahisi kuna kitu kizito we subiri nione mchezo unapoishia

    kama damu yake nyekundu uyo ni wako mbona
  4. emmadizzo

    AC na Feni zipo ila joto limezidi linapoteza hamu ya sita kwa sita

    mwambie jamaa awe anaipepea uku mnafannya yenu
  5. emmadizzo

    Mke wangu kaniambia wana ndoa sio lazima waishi pamoja, kahamia Dar lakini sijui anaishi wapi!

    apo ni kweli mwanamke hakutaki wewe unalazimisha fanya maamuzi magumu wanawake mbona wengi.
  6. emmadizzo

    Waafrika tumerogwa, ni kwamba hatuna hata nchi moja inayoweza kuwa mfano katika sura ya dunia kwamba na sisi tunaweza?

    tatizo ao uliowasifia ndo chanzo sisi kuwa hivi yani wametutawala miaka zaidi ya 500 sisi waafrika tukiwa kama mashine zao leo maendeleo ya nchi zao kutokana na mali zetu waafrika mfano saizi machafuko ya Congo ni nani mfadhili..?
  7. emmadizzo

    CDF mstaafu Mabeyo amelikoroga, Makamu wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais

    kwamba wewe muelevu kuliko Magufuli?? angefanya ivyo kelele zingezida maradufu upinzani na ndani ya Chama, akapiga moyo konde mambo yaendelee.
  8. emmadizzo

    Rais Samia ni kiongozi shupavu na mwenye ujasiri

    Sijasoma naona kichwa kizito
  9. emmadizzo

    Hatimaye Boss kaoa

    labda kuna kitu boss kaona wewe huna na uyo alieolewa anacho ko usipanic madam.
  10. emmadizzo

    Huko Ulaya yalikoanzishwa makanisa mengi makuu, Kuna Nchi yoyote ya kikristo ?

    Ukristo ndo dini pekee inayopambana na Shetani duniani aya mambo yote ya ushogo makanisani ni Vita ya Shetani lakini kanisa bado litasimama imara.
Back
Top Bottom