Recent content by Emma Shimano

  1. E

    Hatimaye serikali yaamua kunyoosha mikono... Gesi sasa kubaki Mtwara!

    Hakuna nguvu duniani iliyoishinda nguvu ya umma, Watanzania sasa wameelimika hivyo basi viongozi wetu wabadilishe mtazamo na wawe na fikira pevu juu ya utumishi uliotukuka. Tunajua wana polisi sawa, wana JW sawaa tu, na vyombo vingine vya usalama sawaaa kabisa LAKINI .......Uongozi ni karama...
  2. E

    Nyumba ya Mh. Mariam Kassembe sh. 400mil

    Mh. Lowasa alishasema, tatizo la ajira kwa vijana ni ...........................Mungu saidia watanzania tupate visional leaders.
  3. E

    Kuna Kijana nimempenda ila nashindwa kumuambia.

    Huna mvuto kwake, No heart connection at all. Vumilia itachukua muda then utampenda mnae pendana. Pole pia
  4. E

    Haya ndiyo matokeo ya kukimbia shule, masikini CHADEMA...

    ahahahahahahaaa..... eti huyu ndio msemaji wa magamba, safi sana wanajichimbia kaburi wenyewe. Soon atakuwa muimba taarabu, mzee yusufu ajiandae kupata mshindani. Wana JF na Watz, huyu jamaa hayupo tayari kujifunza na kuelimika, tusiiumiize vichwa na kupoteza muda kujibu hoja zake. Pumba tupuu.
  5. E

    Kupenda bwana

    una uhakika ana mimba?? Kma kweli anayo, ni yako?? Kuwa makini kwani watoto wa mjini wanafanya kla wawezalo ili tu waolewe.Mwanamke ni mjanja sana.
  6. E

    Hatua zinaendelea kuchukuliwa kuhusu tuhuma na shutuma zilizotolewa

    Thanks for info, tutasubiri hayo maamuzi kwa uhai wa chama.
  7. E

    Nape si mwanachama wa CCM

    This makes the difference between Jf and other socia networks. People are seriously in searching and reading and so curious with matters. But remember, Narrow minded people discuss People.
  8. E

    CHADEMA Wamkubali Nape kwa maneno yake

    Kama wewe sio narrow minded person, tuambie nani alianzisha mjadala wa katiba mpya,elimu bure? kuwavua madaraka mawaziri feck? Unajua origin ya kujivua magamba??? Regards
  9. E

    Chadema wacheni DAYDREAMS, 2015 no way to win Presidential Election

    Wavivu wa kufikiri utawajua tu, always their thoughts are so cheaper if not cheapest. Think big
  10. E

    MAKAMANDA Lema na Vincent kuanza kutikisa Musoma, Dec 09, 2012

    Keep it up, Makamanda. Baada ya Musoma, naomba twende na Serengeti. Pale kuna ngome ya mavuvuzera. Guys, the time is now. Be part of changes.... Be blessed once again
Back
Top Bottom