Recent content by emma shayo

  1. E

    Jimbo la Ubungo UKAWA wana wagombea wawili?

    Inawezekana anatumika ukipita stend apa stend ya mawasiliano utakuta matangazo mengi ya mgombea ubunge wa cuf ukipita maeneo mengi ya ubungo hivi hivi ebu ukawa wasimamie hili
  2. E

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Slaa kiukwel siyo Huyu naemjua alipanic sana hii dhambi ya usaliti ni mbaya padri ukishakula kiapo cha Mafuta matakatifu ukaas ni dhambi kubwa sana hii ni dhambi ya uzinifu
  3. E

    Jimbo la Ubungo UKAWA wana wagombea wawili?

    Naona kuna vipeperushi vya kumchagua mbunge vya mgombea wa CHADEMA pia wa CUF. Ina maana ukawa wamesimamisha wagombea wawili? Hawakukubaliana au ni hujuma kwa kubenea?
  4. E

    Nikinyoa au kufua bocxar ni ugomvi

    Aisee nikimbie ? Kwel mm nahis nalogwa aisee
  5. E

    Nikinyoa au kufua bocxar ni ugomvi

    Kwa nn unauliza kabila
  6. E

    Nikinyoa au kufua bocxar ni ugomvi

    Yaan sielewi kama ni mapenzi au ni nini yaani wife akikuta nimenyoa sirini au nimeoga nikafua pichu hua ananimandi sana anataka yote afanye yeye hivi yupo sawa au ni mambo ya kishirikina?
  7. E

    Kuoa mwanamke mwenye mtoto ni shida

    Asanteni kwa ushauri wenu hatimae imebidi nikibali amlete mtoto tumlee
  8. E

    Kuoa mwanamke mwenye mtoto ni shida

    Nashuru kwa ushaur wandugu coz nilikua nishapanic kwa cku ya leo nimeshindwa fanya kaz nimekunya pombe pia haziingii kabisaaa mawashuru coz narud home but nilikua nahasira nilale niamke salama nijue cha kufanya ila kiukwel unaweza ona mtu anashinda bar analewa ila hapend ushaur wenu umenitia...
  9. E

    Kuoa mwanamke mwenye mtoto ni shida

    Mm pia inaniuma kuishi mbal na mwanangu but wazaz wangu kumwachia dogo inakua ngum sana wanadhan mtoto kuishi na mama wa kambo atanyanyaswa
  10. E

    Kuoa mwanamke mwenye mtoto ni shida

    Daaa inauma lakn maana upande wa ndugu zangu najua wataongea sana
  11. E

    Kuoa mwanamke mwenye mtoto ni shida

    Kwa nn nimlee mtoto wakati baba yake yupo hai? Pia naogopa upande wa wazaz wngu na ndugu pia itaibua maneno mazito sana
  12. E

    Kuoa mwanamke mwenye mtoto ni shida

    Hatukuwa na makubaliano yoyote
  13. E

    Kuoa mwanamke mwenye mtoto ni shida

    Mm wa kwangu pia hatuishi nae yupo nyumbani
  14. E

    Kuoa mwanamke mwenye mtoto ni shida

    Mimi ni kijana na 28 years nilikutana na binti nilimpenda sana kumbe alikua na mtoto kazaa na mwanaume mwingine na mimi pia nilikua na mtoto wa nje niliona isiwe sababu nikaamua kuishi nae toka 2013. Nilimkuta akitumia sindano za uzazi wa mpango nikamsihi aache akaacha mpaka leo hajawah pata...
Back
Top Bottom