Acha kupoteza muda aisee, hapo hamna kitu, na unavozidi kuwa nae ndio unajipalia makaa ya moto, kuwa na huruma haimaanishi ushindwe kujihurumia kisa unahurumia wengine, piga teke, kaz moyo, kuwa mkali tupilia mbali, Wanawake wapo wakukufaa.
Hiyo ni hali mbaya sana, unatikana na kujihukumu wewe binafsi kwa makisa ukiyowahi kuyafanya siku za nyuma, na nadhani kosa moja wapo ni kuwa na watoto wa nje ya ndoa... nakushauri kama hutojari nitafute kwa sms naweza kukusaidia kitu muhimu ka sivyo kweli unayowaza utayatekeleza lakinubmatokeo...
Wana jamvi ,jamani naombeni msaada anayeifahamu hii shule ya tunduru,anipe sifa zake na mapungufu yake,na anijuze iko mkoa gani,pia anishauri nisome hyo shule,maana nimepangiwa nikasome CBG ,msaada tafadhali.
Wana Jf Nami Pia Napenda Mnijuze kwa anayeifahamu shule ya Tunduru,iko mkoa gani mazingira ya kujisomea yakoje na sifa nzuri hata mbaya za shule hiyo,kisha aniambie je shule hiyo kuna michepuo ya sayansi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.