WAZUNGU WANAPOSEMA "LIFE BEGINS AT 40" WANA MAANA IPI?
_________________________________,
Wazungu wanapenda sana kusema kuwa "Life begins at 40" . Msemo huu huwa una maana kwamba mstakabali wa maisha ya binadamu mara nyingi unatafsirika pindi anapofikisha umri wa miaka 40 na kuendelea.
Leo...
Habari wana jf naomba kama kuna mtu anakifahamu chuo chochote wanachofundisha uandishi na utangazaji mkoa Mbeya
Anisaidie hapa ikiwezekana mahali kinapopatikana
Hivi ni channel ngapi za ndani zinazotakiwa kuoneshwa bure ?
Maana startimes mwaka Jana niliangalia Swahili channel, TBC 1 na 2 Channel ten, Clouds TV, ITV, EATV na Star Tv lakini baadae wakafunga zote mpaka nilipie lakini mwezi wa nne wakaanza kuonesha TBC 1 tu sasa mimi sijui ni channel moja tu au
Nimesoma vizuri uzi huu na kuelewa unachomaanisha lakini mimi ninavyojua ni hivi
Ni kweli baada ya shetani kuasi mbinguni Mungu alimtupilia duniani na kilichomfanya shetani kufukuzwa mbinguni ni kujikweza, kiburi, na majivuno na kilichofanya shetani afanye hivyo ni kwa sababu alipewa uwezo...
Hapana lakini angefika hata moja wapo ya kijiji ingeleta faraja mfano angekuwa ilembo kungekuwa na wananchi wa kutoka vijiji vingine
Mbona kikwete alifika Ilembo wananchi wakakusanyika kutoka vijiji vya karibu na akasikiliza kero zao na zilitatuliwa barabara zilitengenezwa
Kapalamsenga katika vijiji hivyo kuna changamoto
Mfano Barabara ya Iwiji kwenda Vwawa nimepita wiki iliyopita ni taabu
Barabara imejaa mashimo daraja la mto Magole limeharibika ni la kupita kwa bahati Nasibu
Daraja la mto Mafumbo ambao unatiririsha maji yake mto Songwe yaani tulipofika hapo...
Tukiwa tunahitimisha ziara ya mheshimiwa Rais wa #TANZANIA HAPA Wilayani mbarali leo mkoani Mbeya , ikiwa ni siku ya 8 tangu mheshiwa awasili Kuna swali nimejiuluza nimekosa majibu
Mheshiwa katembelea wilaya/halmashauri zifuatazo
#mbeya
#chunya
#kyela
#busokelo
#mbarali
Lakini #mbeyavijijini...
Hivi may mosi ni kwa ajili ya nini ?
Mimi nilifikiri ni kwa ajili ya kuwapa faraja wafanyakazi kwa kuongeza mishahara, ajira,kupandisha madaraja, n.k lakini katika awamu ya tano naona watu wanasherekea sikuku may mosi kama vile wapo msibani badala tuone ni kama wapo harusini
Hivi may mosi ni kwa ajili ya nini ?
Mimi nilifikiri ni kwa ajili ya kuwapa faraja wafanyakazi kwa kuongeza mishahara, ajira,kupandisha madaraja, n.k lakini katika awamu ya tano naona watu wanasherekea sikuku may mosi kama vile wapo msibani badala tuone ni kama wapo harusini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.