Arusha! Kisa makao makuu ya EAC au? Kama hvyo bax arsha n juu. Na kama bhang n maendeleo bax tusilinganishe arsha na mamb ya kijinga. La sivyo bax liacheni jiji la wastaarabu!
Nina wasiwasi na mbunge wangu Tizeba, cjui ana mda gan hajafka kome!!! Namwomba aje mara moja huku kwao aone hali halisi ya upatikanaji wa chakula afu afanye comparison na miaka ya nyuma!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.