Recent content by EMK

  1. E

    Uwanja wa ndege kwanuka dhuluma, wamenitoza ushuru kisa mashati mawili mapya

    Kwenye free duty hawatoi list? Kwa nini hao TRA hujawaonyesha list? Hii ya kulipisha kitu ambacho kina label ni ya siku nyingi sana,
  2. E

    Kwanini ni aibu sana kuishabikia CHADEMA siku hizi?

    Sasa umeandika nini? Watu wengine sijui huwa wanafikiria nini, uchaguzi umeisha, watu wanafikiria maendeleo ya kututoa tulipo ili tusukume gurudumu mbele wewe unaleta ushabiki wa vyama. Hebu jifunze kufikiria mada za kuleta humu.
  3. E

    Dr. Ashatu Kijaji, Hongera sana

    Huyu mama kama sikosei alisoma Norway masters na PhD na alikuwa anasoma na mme wake kwa hiyo kuhusu makandokando watu wanamsingizia au wana wivu.
  4. E

    Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

    Juzi JPM alimpa za uso kwa kumwambia kuwa kuna watu wsmesafiri kwenda nje mara nyingi zaidi kwenda kuwaona wazazi wao.
  5. E

    Dr. Nchimbi, the beginning of an end

    Atateuliwa kuwa mkuu wa mkoa au Balozi
  6. E

    Diallo wa Star Tv kutosahulika!

    Kila mtu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi Duniani zinahesabika, kwa maana hiyo kila mtu ni mahiti mtarajiwa hata wewe mwenyewe ni maiti mtarajiwa, pumbavu zako kwa kumuita mtu hai maiti.
  7. E

    Baada ya Uchaguzi Mkuu tujiandae kushuhudia mnyukano CHADEMA

    Kwa taarifa yako hata kama ukawa hawatashinda lakini watakuwa na nguvu kuliko tangu uchaguzi wa vyama vingi uanze hapa nchini sababu watapata wabunge wakutosha na pia kura za urais watapata nyingi sana kwa hiyo watakuwa na ruzuku ya kutosha kuendesha vyama vyao na hapo ndo wataimariki zaid.
  8. E

    January Makamba anasubiri kuingia Bungeni tu

    Hayo ni mawazo yako ndugu, subiri uchaguzi ufanyike ndo uandike haya, huwezi ukatuaminisha kitu unachokiamini nasisi tukiamini. Pole sana
  9. E

    Kosa kubwa la Chadema ni kuwanyima Watanzania uchaguzi

    Asante lakini haya yote kwa mtazamo wako binafsi
  10. E

    Upatu, DECI, Babu Loliondo na sasa Edward Lowassa!

    Sijui umekula maharage ya wapi kuja kutoa ushuzi, wewe unafikiri unataka tuchagua unayemtaka? Kila mtu ana msimamo wake ushuzi peleka huko. Wewe kama ni mzalendo mbona watoto wako wanadoma Iringa international school
  11. E

    Zitto: Watu wa Dar nawavulia Kofia, Siku 8 bila maji na mpo kimya?

    wewe ndo una akili? Nyambafu
  12. E

    Wakristo wasilalamike kwani mahakama za kawaida zinatumia sheria za kikristo (canon court)

    Sorry Tabby kwa comment yangu hapo juu nilitaka kucomment kwa Eggy Muff
  13. E

    Wakristo wasilalamike kwani mahakama za kawaida zinatumia sheria za kikristo (canon court)

    Kweli kwenye maandamano ya mamba na kenge wamo, wewe unalalamikia kitu usichokijua, wewe unasema mwanaume akifa mrithi ni mwanamke, kama hutaki hivyo si uandime usia ugawe mali zako upendavyo halafu upeleke kwa mwanasheria Pili hata hiyo makahama ya kadhi wanachokihitaji huelewi, nashauri...
  14. E

    Serikali yaitelekeza familia ya Nyerere

    Jamani huyu jamaa ni mtu mzima, ibabidi ajitafutie riziki kana wewe unavyojitafutia, mambo yakubebwa kwa mzee kama huyu hayafai kabisa.
  15. E

    Escrow kuwang’oa Chenge Ngeleja, Mwambalaswa

    Wewe mbona una akili ya ajabu, unalalama nini hapa kwani hela anazotetea Ponda zimeliwa na nani? Si zimeliwa na waislamu wenyewe. Tunakuomba hapa usichanganye mada na mambo ya dini.
Back
Top Bottom