Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 11,569
- 16,017
- Thread starter
- #21
Hayo umeyajulia wapi mkuu wakati ndo sasa kaingia kwenye siasa? navojua mimi alikuwa mhadhiri pale mzumbe ndo safari hii kaenda kugombea ubunge jimbo jipya na kuukwaa uwaziri moja kwa moja, so she is very new siasani, I stand to be corrected anyway!!
Tunahitaji watu watakao fanya kazi Kwa weledi na siyo mkumbo. Hata Dr. Magufuli aliposhinda ubunge Kwa mara ya kwanza kwenye jimbo jipya aliteuliwa kuwa naibu waziri na ndiye rais wetu.