Tunasafari Ngumu ya Kujifunga Mkanda Kupata Katiba Mpya itayoweka misingi ya Uhuru wa Mhimili wa Mahakama. Unapoona Mahakama inashirikiana na Wakamataji na Washitaki kwa kupuuza haki za binadamu ni hatari sana
Nimesoma HUKUMU ya Kesi ya THADEY KWEKA ambayo imetolewa jana kinyemela hata bila yeye mwenyewe kujitetea au kutetewa na Mawakili wake tangu kukamatwa kwake, Ninasikitika Kuona kwamba hata Mahakama kupitia Hakimu imejielekeza Vibaya Kutoa HUKUMU husika
Raia Wanategemea Mahakama itende Haki na...
SAFARI NDEFU YA KITAALUMA(LONG WALK TO ACADEMIC JUSTICE) NA NENO LA SHUKRANI KWA TAASISI, VYOMBO VYA HABARI NA WADAU MBALIMBALI 2011-2025.
Prof. Rwekaza Mkandala, Watawala Wote wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) na Viongozi wote wa serikali Mlioshiriki kunifukuza...
UFUNGUAJI WA KESI KATIKA MAHAKAMA YA KIMATAIFA YA UHALIFU ICC KWA MUKTADHA WA HALI YA TANZANIA
Naomba nitumie lugha rahisi kwa Ufafanuzi ambayo hata asiye mwanasheria aelewa ili kuendelea kutoa Ushirikiano wa taarifa za uhalifu wa Haki za Binadamu uliotokea Kabla, Wakati na baada ya Kilichoitwa...
THE LAWS AND CORE LEGAL TEXT GOVERNING INTERNATIONAL CRIMINAL COURT (ICC)
Alphonce Lusako (Adv)
Following the fact that, The International Criminal Court (ICC) has been asked to investigate alleged mass killings as part of grave Human Rights Violations during a crackdown on post-General...
SIKU YA VIJANA DUNIANI IWE CHACHU YA KUZITAMBUA, KUZIANISHA NA KUPINGA SHERIA ZINAZOMINYA DEMOKRASIA YA UCHAGUZI KWA VIJANA IKIWEMO VIJANA WENYE UMRI KATI YA MIAKA 18-21 KUGOMBEA NAFASI YA UBUNGE TANZANIA. KESI (ALPHONCE LUSAKO Vs. ATTORNEY GENERAL, CIVIL CASE NO.06 OF 2022).
Hatuwezi tukawa na...
JE, WAZIRI WA ELIMU, PROF JOYCE NDALICHAKO ANAFAHAMU ADHA HII?
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) ni chombo kilichoanzishwa kwa Sheria ya Bunge Sura Namba 129 ili kusimamia na kuratibu utoaji wa elimu na mafunzo ya ufundi katika Vyuo ambavyo si Vyuo Vikuu ama Vyuo Vikuu Vishiriki...
UGAIDI: UFAFANUZI WA KISHERIA NA HATARI ILIYOPO JUU YA MASHTAKA YA UGAIDI DHIDI YA MH. FREEMAN MBOWE NA WENGINE (3).
Na. Alphonce Lusako (Human Rights-Lawyer)
Andiko Hili litajikita Katika Mambo Makuu yafuatayo
UTANGULIZI- KESI YA UGAIDI (ECONOMIC CRIME NO. 63 OF 2020).
NINI KINAUNDA KOSA LA...
JINSI YA KUMPIGIA KURA Alphonse Lusako ili ashinde Shindano #JAMII FORUM, kupitia andiko lake : KITENDAWILI CHA KATIBA YA WANANCHI-TANZANIA
..
Tumia/Ingia Google Chrome andika hii web (www.jamiiforum.com)
Tumia account yako ya jamii forum Ku-Log-in then utaona #Forum nyingi, chagua kwa...
Thanks much chief. Kura yako tafadhari..
JINSI YA KUMPIGIA KURA Alphonse Lusako ili ashinde Shindano #JAMII FORUM, kupitia andiko lake : KITENDAWILI CHA KATIBA YA WANANCHI-TANZANIA
..
Tumia/Ingia Google Chrome andika hii web (www.jamiiforum.com)
Tumia account yako ya jamii forum Ku-Log-in...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.