Recent content by Emekha Ikhe

  1. Emekha Ikhe

    Siku ya Vijana Duniani iwe chachu ya kuzitambua, kuzianisha na kupinga sheria zinazominya demokrasia ya uchaguzi kwa vijana ikiwemo wenye umri 18-21

    SIKU YA VIJANA DUNIANI IWE CHACHU YA KUZITAMBUA, KUZIANISHA NA KUPINGA SHERIA ZINAZOMINYA DEMOKRASIA YA UCHAGUZI KWA VIJANA IKIWEMO VIJANA WENYE UMRI KATI YA MIAKA 18-21 KUGOMBEA NAFASI YA UBUNGE TANZANIA. KESI (ALPHONCE LUSAKO Vs. ATTORNEY GENERAL, CIVIL CASE NO.06 OF 2022). Hatuwezi tukawa na...
  2. Emekha Ikhe

    Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) na maamuzi ya utata kuhusu mitihani ya marudio kwa wanafunzi wa Vyuo vya Kati

    JE, WAZIRI WA ELIMU, PROF JOYCE NDALICHAKO ANAFAHAMU ADHA HII? Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) ni chombo kilichoanzishwa kwa Sheria ya Bunge Sura Namba 129 ili kusimamia na kuratibu utoaji wa elimu na mafunzo ya ufundi katika Vyuo ambavyo si Vyuo Vikuu ama Vyuo Vikuu Vishiriki...
  3. Emekha Ikhe

    Ugaidi: Ufafanuzi wa kisheria na hatari iliyopo juu ya mashtaka ya ugaidi dhidi ya Freeman Mbowe na wengine (3)

    UGAIDI: UFAFANUZI WA KISHERIA NA HATARI ILIYOPO JUU YA MASHTAKA YA UGAIDI DHIDI YA MH. FREEMAN MBOWE NA WENGINE (3). Na. Alphonce Lusako (Human Rights-Lawyer) Andiko Hili litajikita Katika Mambo Makuu yafuatayo UTANGULIZI- KESI YA UGAIDI (ECONOMIC CRIME NO. 63 OF 2020). NINI KINAUNDA KOSA LA...
  4. Emekha Ikhe

    SoC01 Kitendawili cha Katiba ya Wananchi - Tanzania

    Thanks much. kura yako please
  5. Emekha Ikhe

    SoC01 Kitendawili cha Katiba ya Wananchi - Tanzania

    JINSI YA KUMPIGIA KURA Alphonse Lusako ili ashinde Shindano #JAMII FORUM, kupitia andiko lake : KITENDAWILI CHA KATIBA YA WANANCHI-TANZANIA .. Tumia/Ingia Google Chrome andika hii web (www.jamiiforum.com) Tumia account yako ya jamii forum Ku-Log-in then utaona #Forum nyingi, chagua kwa...
  6. Emekha Ikhe

    SoC01 Kitendawili cha Katiba ya Wananchi - Tanzania

    Thanks much chief. Kura yako tafadhari.. JINSI YA KUMPIGIA KURA Alphonse Lusako ili ashinde Shindano #JAMII FORUM, kupitia andiko lake : KITENDAWILI CHA KATIBA YA WANANCHI-TANZANIA .. Tumia/Ingia Google Chrome andika hii web (www.jamiiforum.com) Tumia account yako ya jamii forum Ku-Log-in...
  7. Emekha Ikhe

    SoC01 Kitendawili cha Katiba ya Wananchi - Tanzania

    Mwamba, inatakiwa iongezeke +1 iwe 72. Naomba CLICK Hapo kwenye kijimshale ^ Kabla ya VOTE
  8. Emekha Ikhe

    SoC01 Kitendawili cha Katiba ya Wananchi - Tanzania

    Mwamba shukran, ni hapo mwishoni mwa andiko kuna kitufe 70 VOTEs click hapo kura moja itaongezeka
  9. Emekha Ikhe

    SoC01 Kitendawili cha Katiba ya Wananchi - Tanzania

    ukiscrow mwishoni mwa Andiko utaona neno VOTE kama hutaona hapo naomba uingie jamii forum kwa Google Chrome yani: ... Naomba uende Google Chrome andika hii web (www.jamiiforum.com) Log in utaona forum nyingi choose Story for change then tafuta andiko limeandikwa Kitendawili Cha Katiba Ya...
  10. Emekha Ikhe

    SoC01 Kitendawili cha Katiba ya Wananchi - Tanzania

    Thanks much kaka. Your Vote tafadhari na naomba niombee kura huko duniani... 😂
  11. Emekha Ikhe

    SoC01 Kitendawili cha Katiba ya Wananchi - Tanzania

    Thanks much, please vote shawish na wengine wa Vote Comrade soma Ibara ya 8 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania(1977) Msingi wa hoja yako unajibiwa hapo kwamba Wananchi ndio wenye Mamlaka na nchi yao, serikali yoyote itapata madaraka kutoka kwa wananchi. Kwa lugha nyepesi Wananchi ni...
  12. Emekha Ikhe

    SoC01 Kitendawili cha Katiba ya Wananchi - Tanzania

    Thanks much, please vote shawish na wengine wa Vote
  13. Emekha Ikhe

    SoC01 Kitendawili cha Katiba ya Wananchi - Tanzania

    asante please your vote tafadhar.
  14. Emekha Ikhe

    SoC01 Kitendawili cha Katiba ya Wananchi - Tanzania

    thanks much naomba kura yako tafadhari. mwisho wa andiko utaona neno VOTE, Click hapo utakuwa umenipigia kura
Back
Top Bottom