Recent content by Embata Nyarusaho

  1. Embata Nyarusaho

    Ushahuri kuhusu mke wangu

    Huyo atakuletea ukimwi.. Ukiona mwanamke ana wivu saana jua ana mtu nje.. Sasa hyo njia ni kujihami tuu
  2. Embata Nyarusaho

    Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

    Connection muhimu sana aiseee watu wanapta kwa sababu ya connection.. Mana inakuwaje wengne huwa wanatumiwa sms kwnye email wanakwenda kuripoti kazini.. Kama sio connection ni nini sasa
  3. Embata Nyarusaho

    Hii form ya Manchester City wangekuwa nayo Manchester United tungekoma!

    Anae kula x-mas yupo top.. Mara nyingi ndo bingwa wa EPL
  4. Embata Nyarusaho

    Hii form ya Manchester City wangekuwa nayo Manchester United tungekoma!

    Nilkua nakaa hostel na mshakj wa man U.. Yan sku man U ikishnda nachelewa kuja kulala ili nikute alisha lala mana makelele balaaa alf karbia ote wapo Ivo.. Cjui kwann
  5. Embata Nyarusaho

    Mpenzi wangu hanihudumii wala haniridhishi kimapenzi

    Duuh pole labda alijiunga.. Shirika la chapta baada ya ww kuw mbali nae
  6. Embata Nyarusaho

    Mpenzi wangu hanihudumii wala haniridhishi kimapenzi

    Duuh pole... Labda alijiunga chapta ndo madhara yake hayo
  7. Embata Nyarusaho

    Ushauri: Ana wasiwasi kwamba kaathirika

    Anaitwa charles ana miaka 26 ni mwanafunzi wa ngazi ya stashahada na yuko mwaka wa kwanza katika chuo kikuu cha SAUT mwanza. Tatizo lake ni kuwa na waswas na afya yake mana kafanya mchezo kuzama chumvini (oral sexual) mara moja tu ktk maisha yake, sasa anauliza je atakuwa kaathirika au laaa...
  8. Embata Nyarusaho

    Hodi Hodi

    karib sana
Back
Top Bottom