Actually Niko mbali na DAR nimejaribu kugoogle ninapata page yao ya Facebook ambayo haina relevant information kama una website yao mkuu naomba unisaidie am real serious
Jamani kwa yeyote mwenye details za Chuo cha Takwimu Changanyikeni Dar es salaam especially kuhusu course za masters wanazofundisha hapo. Naomba anisaidie nategemea kuaply for masters kwenye hicho chuo.
Lakini jamani swali la kizushi,
Hivi duniani kote utaratibu wa kuchinja ukoje? Je machinjio zote zinafuata sheria za uchinjani hasa kwa Tanzania? Na je, siku zote ni utaratibu gani ulikuwa unatumika ukaridhiwa na wote hadi leo tunaanza kuchinjana namna hii?
Inasikitisha sanaaaa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.