Hatuwez fanana, akili yako na yangu zinatofautiana kwa asilimia kubwa, Kama unaona nasifia ujinga Nina shaka na uwezo wa akili yako katika kufikiria na kuchanganua mambo ya msingi kwa wakat muafaka.
Be careful mkuu, sio kila unalofikiri ww kuwa ni sahihi ndivyo na wengine watachukulia Kama ulivyochukulia wewe. Na sio vizur kuandika kuwa Baadhi ya Makanisa ni Hopeless eti tu kwa sababu hayajihusishi na SIASA
Bora akamatwe tu, hakuna namna coz kazidisha ukuda yeye daily ni unaaaah tu kwenye MADHABAHU badala ya GOSPEL. Waumini tunahitaji kumfahamu YESU anayeokoa sio DAUDI BASHITE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.