Mjinga mimi,
Hivi haiwezekani kununua Bomu/Mabomu ya la Nyuklia kutoka North Korea au Pakistani kisha Iran akayatumia kushambulia Marekani au Israel?
Ni swali waungwana.
Nasikia swala la kupumua ni uongo,
Serikali inatengeza mazingira ili makaburi yao ya waliowaua baada ya uchanguzi ije waje wajitetee makaburi ya watu wa COVID 19 na kipindupindu
Yeah, angalau Maria naweza kumwamini,
Recho Dangwa na Sativa niliwaambia, maneno matupu bila kuweka ushahidi wa picha au video ni uongo wa mchana kweupe.
Team msonga hawashindwi kufanya hivyo,
1. Wali fake kifo cha Daudi Balali,
2. Waka fake kifo cha Yusuf Manji
Wanatengeneza propaganda tele,
Ukizingatia Kikwete,
Ana watu aliokubaliana nao kutokukubaliana nje,
Recho na Chahali ni Project yake.
Mkuu ZSSF ni mirija ya kuwanyonya raia wa Tanganyika wanaoenda kufanya shughuli Zanzibar,
Kuna miradi mingi imejengwa na ZSSF, mfuko huu unabembwa na Watanganyika walioko Zanzibar,.
Watu wa nje ya Tanzania wakipoteza kazi ndani ya wiki mbili wanapewa fedha zao, Wakenya, Waganda, wahindi, wazungu...
Hata mimi nimehisi kishaingia kwenye maridhiano,
Lakini akipewa ubalozi awe bali Tanzania atakubali?
Je akichakuliwa kuwa naibu waziri wa mambo ya ndani je?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.