Vipi akiamka makazi yake yamezingirwa, kisha Vyombo vya habari vya maboss wake vikatoa tangazo la Emmanuel Nchimbi ameandika barua ya kujiuzulu huku ikiwa na saini yake.
godfather hana akili,
Anakubalije kuwa kibaraka cha watu wa nje na akina RA?
Mwl kawasomesha ili waje kulisaidia taifa kusimamia raslimali vizuri yeye anamgeuka mwl na taifa nakuwa kibaraka.
Mjinga mimi,
Hivi haiwezekani kununua Bomu/Mabomu ya la Nyuklia kutoka North Korea au Pakistani kisha Iran akayatumia kushambulia Marekani au Israel?
Ni swali waungwana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.