godfather hana akili,
Anakubalije kuwa kibaraka cha watu wa nje na akina RA?
Mwl kawasomesha ili waje kulisaidia taifa kusimamia raslimali vizuri yeye anamgeuka mwl na taifa nakuwa kibaraka.
Mjinga mimi,
Hivi haiwezekani kununua Bomu/Mabomu ya la Nyuklia kutoka North Korea au Pakistani kisha Iran akayatumia kushambulia Marekani au Israel?
Ni swali waungwana.
Nasikia swala la kupumua ni uongo,
Serikali inatengeza mazingira ili makaburi yao ya waliowaua baada ya uchanguzi ije waje wajitetee makaburi ya watu wa COVID 19 na kipindupindu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.