Recent content by Emanueli misalaba

  1. Emanueli misalaba

    Iran wamepost AI video inayoenda kwa jina la One Vengeance for All

    Mjinga mimi, Hivi haiwezekani kununua Bomu/Mabomu ya la Nyuklia kutoka North Korea au Pakistani kisha Iran akayatumia kushambulia Marekani au Israel? Ni swali waungwana.
  2. Emanueli misalaba

    Viongozi wa Bunge wanapaswa kuwa wenye afya njema, mkiweka vimeo mtalitia hasara Taifa

    Utawala huu umejawa na uzushi na propaganda, za kila mara kuzusha zusha.
  3. Emanueli misalaba

    Chahali: Hakuna ubishi tena. Samia ataondoka wakati wowote, hamalizi 2026. Ila kuifuta CCM kwa ujumla, tunahitaji njia nyingine!

    Anaondokaje? Je bwana wake, Geoffrey Eptisein wa Tanganyika, Ayatollah wa Kwere ametoa mwongozo wakumtoa?
  4. Emanueli misalaba

    Chahali: Hakuna ubishi tena. Samia ataondoka wakati wowote, hamalizi 2026. Ila kuifuta CCM kwa ujumla, tunahitaji njia nyingine!

    Hivi Evarist Chahali alijitenga lini na kundi la wanamtandao la Jk ambalo hata Semuya ni sehemu ya hilo kundi?
  5. Emanueli misalaba

    Ule mpango kabla ya Passover umekamilika

    Eptisein wa Tanzania, A.k.a Ayatollah wa Tanzania
  6. Emanueli misalaba

    Rais Samia amefuata ushauri wa Prof. Janabi? Mbona amepungua sana!

    Nasikia swala la kupumua ni uongo, Serikali inatengeza mazingira ili makaburi yao ya waliowaua baada ya uchanguzi ije waje wajitetee makaburi ya watu wa COVID 19 na kipindupindu
  7. Emanueli misalaba

    Rais Samia amefuata ushauri wa Prof. Janabi? Mbona amepungua sana!

    Uongo, wanamtandao wanatengeneza propaganda, picha za AI kuhandaa watu
  8. Emanueli misalaba

    Rais Samia amefuata ushauri wa Prof. Janabi? Mbona amepungua sana!

    Picha za AI hizo, mbona za page ya ikulu mawasiliano haziko hivi?
  9. Emanueli misalaba

    Just imagine kama Mwafwere yuko mahali salama anasoma haya yanaendelea mitandaoni kumhusu

    Yeah, angalau Maria naweza kumwamini, Recho Dangwa na Sativa niliwaambia, maneno matupu bila kuweka ushahidi wa picha au video ni uongo wa mchana kweupe.
  10. Emanueli misalaba

    Just imagine kama Mwafwere yuko mahali salama anasoma haya yanaendelea mitandaoni kumhusu

    Team msonga hawashindwi kufanya hivyo, 1. Wali fake kifo cha Daudi Balali, 2. Waka fake kifo cha Yusuf Manji Wanatengeneza propaganda tele, Ukizingatia Kikwete, Ana watu aliokubaliana nao kutokukubaliana nje, Recho na Chahali ni Project yake.
  11. Emanueli misalaba

    Mfuko Wa Hifadhi ya Jamii -Zanzibar Zssf ni Mfuko wa Kinyonyaji na kandamizi dhidi ya raia wanyonge sekta binafsi

    Mkuu ZSSF ni mirija ya kuwanyonya raia wa Tanganyika wanaoenda kufanya shughuli Zanzibar, Kuna miradi mingi imejengwa na ZSSF, mfuko huu unabembwa na Watanganyika walioko Zanzibar,. Watu wa nje ya Tanzania wakipoteza kazi ndani ya wiki mbili wanapewa fedha zao, Wakenya, Waganda, wahindi, wazungu...
  12. Emanueli misalaba

    Tume ya Maridhiano-Haya ni mauzauza kwa kweli watanzania tunachezewa akili

    Hata mimi nimehisi kishaingia kwenye maridhiano, Lakini akipewa ubalozi awe bali Tanzania atakubali? Je akichakuliwa kuwa naibu waziri wa mambo ya ndani je?
  13. Emanueli misalaba

    Dark days 17/03/20

    Leo nimemwona kuna vitu anapost bila uhalisia
Back
Top Bottom