Recent content by Emanueli misalaba

  1. Emanueli misalaba

    JamiiForums Tanzania Mchakato wa kujiunga na Freemasonry

    Issue ya Kanumba vipi? Issue ya yule mhubiri kule Moshi kwenye mkutano wake vipi? Issue ya mkapa 1995 na mv bukoba vipi?
  2. Emanueli misalaba

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Kile kifo ilikuwa kafara au? Kwa nini kuzikwa Fasta Fasta hakuna cha kuangwa ukumbi fulani wala viwanja fulani, utadhani alikufa raia wa rank ya chini, Halafu sasa watu full kupishana kuhani msibani je kuna doano huko zimetengwa kimkakati? Viti, magari wanayotumia kutokea airport au bandarini ni...
  3. Emanueli misalaba

    JamiiForums Tanzania Mchakato wa kujiunga na Freemasonry

    Inasemwa baadhi ya Wanachama wa freemason Tanzania huweza kutoa sadaka ya kafara ya wapendwa wao, Mzazi, mwenza, mtoto nk, je na freemason wa ulaya wana huu utaratibu wa kutoa kafara? Kwa nini kutoa kafara?
  4. Emanueli misalaba

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Iwapo Nchimbi hataonekana hadharani ndani ya wiki moja tutaiburuza Serikali mahakamani

    Mahakama hizi zinazofuata maelekezo ya Rostam na Saa100?
  5. Emanueli misalaba

    JamiiForums Tanzania Spy Catcher: Kuna Ujumbe wa siri ulitolewa hapa na Dkt; Nchimbi kabla Kujiuzulu kwake. | Code +255

    Pongezi kwake, vipi Mzee anaendeleaje?
  6. Emanueli misalaba

    JamiiForums Tanzania Hilda Newton na Maria Sarungi mnapaswa mjitathimini la sivyo mtapoteza credibility hivi karibuni

    Hivi Maria, Chahali na Godbless si project ya JMK?
  7. Emanueli misalaba

    JamiiForums Tanzania Hilda Newton na Maria Sarungi mnapaswa mjitathimini la sivyo mtapoteza credibility hivi karibuni

    Je humu JF wamo hawa watu? ID zao zipi tuwa tag?
  8. Emanueli misalaba

    JamiiForums Tanzania Tupuuze, taarifa hii ni upotoshaji

    Wewe uvccm ni kama Toilet paper, Hiyo barua ya tarehe gapi? Na post umepost lini? Umekubali kuwa toilet paper, kuwa basi smart
  9. Emanueli misalaba

    JamiiForums Tanzania Rais ni nembo Ya nchi, Tumpende na kumpa ushirikiano wa kutosha

    Huko Zanzibar wanashangaa inakuwaje Mwanamke awe kiongozi nyie? Wakati dini hairuhusu Mwanamke kumtawalawa mwanaume? Mko kinyume na Mungu na radhi zake, Kashindwa kuheshimu Quran tukufu ataweza kuheshimu Katiba yenu au ndio ile kuita katiba kiji kitabu?
  10. Emanueli misalaba

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba aanguka Jukwaani!

    Vipi Mzee anaendeleaje?
  11. Emanueli misalaba

    JamiiForums Tanzania Huwezi kuwa Rais unayetesa raia wako, halafu anguko lako lisiwe kubwa. Bing Bang is coming, alama zinaonesha

    Huyo mume wake kafa kifo cha Natural death au kamjenitha?
  12. Emanueli misalaba

    JamiiForums Tanzania Itakuwaje siku Samia akiingia JF asome watu wanavyomchukulia?

    Na nadhani ukiangalia watu wa kada ya Pwani hawastahili kuwa katika position ya rank ya juu kitaifa
  13. Emanueli misalaba

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mwigulu asijiuzulu ili kunusuru Roho yake?

    Akiwa waziri wa fedha kaidhinisha makontena mengi ya msimbazi ziende Visiwani, hana uchungu na kodi na rasilimali za Taifa letu, lolote mbaya limfike
Back
Top Bottom