OMBWE
Tuzimulike asasi, za umma na binafsi,
Malengo yake asisi, tuanze kuyaasesi,
Hasa wetu maafisi, muhimu tuwadadisi,
Ombwe linaoneka, wakuliziba ni sisi
Akali tunaiona, kwenye zetu taasisi,
Kwenye viti wametuna, hasa waziba nafasi,
Wengi waliojazana...