Kwa haraka haraka nimegundua hujatembea mikoa mingi stendi ya msamvu Ina kipi Cha kujivunia
Kwanza stendi Ina ufinyu wa barabara ya kuingilia na kutoka stendi ya msamvu kwa mtazamo wangu inazidiwa na stendi ya korogwe
Acha kujinasibu kiasi kwamba unadharau elimu inayotolewa NIT
Yan hii ndo shida ya watanzania kujinasibu kuwa Bora kuliko wengine mbona wapo wengi waliosoma NIT na Ni watu wakubwa na wapo waliosoma MU lkn wapo mtaan
Suala la elimu ya juu Ni matter of choice
Achague anapotaka yeye
Lkn wasomi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.