kutoa ushari ni kitu endelevu na hakipaswi kutengewa siku.Mtanzania alieko mbali na maadhimisho yanakofanyika anaupataje ushauri? kuhusu ushauri zijengwe VTC kila kituo cha afya kuleta effectivenss na sio kuadhimisha siku ili kutengeneza nafasi ya watu kujilipa posho
hapo imeathiri uchumi kivipi? imejenga uchumi kwani national cake inakuwa equally divided na kupunguza gap kati ya walionacho na wasio nacho.wakati watu wachache wanapesa za kuchezea kwa kuhonga vibinti kuna watu wanakosa dawa hospital.hivyo badala ya kusema uchumi utaharibika uchumi unajengeka
Yalisha semwa mengi kuwa mwaka 2000 ndo mwisho wa dunia na kwamba na computer zitazima lakini ilifika na imepita sasa miaka 15 hakuna lolote jipya hivyo, hakuna ajuae siku wala saa kikubwa ni get ready any moment it may be 2morrow au hata after another karne
lina uhusiano gani na rais mpya ,kama kuna tatizo la mikopo halimhusu limetokea kabla coz hata sasa tunavyo ongea hajaapishwa bado.Kukosa mikopo halina connection na HAPA KAZI TU
Matokeo ni ya jamhuri ya Muungano wa Tz,yalofutwa ni ya zenj hayana uhusiano kabisaaa wasimamizi tofauti,vitambulisho tofauti daftari la wapiga kura tofauti na mamlaka zilizosimamia ni tofauti
maendeleo ni process na sio event,changamoto zipo tunazijua na kiongozi anaeweza kuziondoa ni Dr Magufuli "hapa kazi tu" habari ya kusombwa sio issue anaekubali kusombwa ni dhahiri yuko radhi kuhudhuria mkutano pengine tatizo ni usafiri wa kumfikisha hapo.kibaya ni kuleta mtu wa mkoa mwingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.