Hongera sana , ila kama utaona inafaa kupitia jukwaa hili nakuomba kila unapomaliza kusoma kitabu unatuandikia MAUDHUI yaliyomo katika hicho kitabu kwa ufupi, kuliko kuandika idadi na majina tu ya hivyo vitabu. Hii itafanya angalau muda unaoutumia kusoma hivyo vitabu kuwanufaisha wengi.
Kweli aisee wanasoma notes walizoandikiwa na wapambe wao , nane mwaka huu nilimsikia yule aliyejaliwa akielezea kilimo cha kabeji , nikajua kweli kichwa chake ni kama kabeji.
We live our life men!! ( tunaishi maisha yetu) alisikika jamaa mmoja, mtanzania kama siyo yule mwingereza akampiga superglue mdomoni jamaa akakosa ajira , yeye akaendaelea kuomba kazi , usiwaamini hawa watu ni wachuro sana, wanapenda uwe na shida, uwaombe ombe, ila kama unaweza kajiajili ni...
Nikiwa rais wa tanzania , kuna vitu ntavifanya ili kila mtu aelewe nini maana ya kuajiliwa na kujiajili maana kuna watu wanaongea maneno tu ila hawaelewi.
1 kustaafu kwa lazima iwe serikalini au private itakuwa miaka 45
2 hakuna ukoo utakayoruhusiwa kupata ajira serikalini kwa zaidi ya watu...
Jamii ndo inaliki lugha na tafsiri yake, na kila kitu dunia huwa kina pande mbili, wa kushoto na kulia, hii ina maana kwamba neno lilelile linaweza kuwa tafsiri tofauti kuliangana na aliyeongea alikuwa katika mazingira gani? Anaongea na nani? na Uhusiano kati yake na anayeongea pia huyo mtu...
Swala ajira linamgusa kila mtu, maana kama wewe una ajira , atakuwepo binamu, shemeji, rafiki, jirani, mtoto wa dada, mtoto wa kaka, mtoto wa shemeji au mtu yeyeote wa karibu ambaye hana kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.