Recent content by Elythrobacter

  1. E

    Baadhi ya Vitabu nilivyosoma mwaka 2020 - Zitto Kabwe

    Hongera sana , ila kama utaona inafaa kupitia jukwaa hili nakuomba kila unapomaliza kusoma kitabu unatuandikia MAUDHUI yaliyomo katika hicho kitabu kwa ufupi, kuliko kuandika idadi na majina tu ya hivyo vitabu. Hii itafanya angalau muda unaoutumia kusoma hivyo vitabu kuwanufaisha wengi.
  2. E

    Spika Ndugai awataka vijana kubadili fikra kuhusu ajira

    Kweli aisee wanasoma notes walizoandikiwa na wapambe wao , nane mwaka huu nilimsikia yule aliyejaliwa akielezea kilimo cha kabeji , nikajua kweli kichwa chake ni kama kabeji.
  3. E

    Spika Ndugai awataka vijana kubadili fikra kuhusu ajira

    We live our life men!! ( tunaishi maisha yetu) alisikika jamaa mmoja, mtanzania kama siyo yule mwingereza akampiga superglue mdomoni jamaa akakosa ajira , yeye akaendaelea kuomba kazi , usiwaamini hawa watu ni wachuro sana, wanapenda uwe na shida, uwaombe ombe, ila kama unaweza kajiajili ni...
  4. E

    Debate: Kuajiriwa Vs Kujiajiri

    Nikiwa rais wa tanzania , kuna vitu ntavifanya ili kila mtu aelewe nini maana ya kuajiliwa na kujiajili maana kuna watu wanaongea maneno tu ila hawaelewi. 1 kustaafu kwa lazima iwe serikalini au private itakuwa miaka 45 2 hakuna ukoo utakayoruhusiwa kupata ajira serikalini kwa zaidi ya watu...
  5. E

    Waziri Mkuu Majaliwa: TEHAMA itumike kuongeza kasi ya Uchumi, Ajira

    Kama wana nia wawaache vijana wafungue blogs na channel za youtube bila kulipia, utakapofikia vigezo vya monetization ndo ulipie.
  6. E

    Rais Magufuli nisikilize kwa makini, Sitaki upoteze muda bure

    Umeandika mambo mazito sana, ila hujayapangilia vizuri, kwa kuanza point, maelezo mwisho mfano.
  7. E

    GE2020 Kawe, Dar: Yaliyojiri mkutano wa Dkt. Magufuli katika viwanja vya Tanganyika Packers

    Hizi kauli za kuwa mlichagua wapinzani ndo maana hamjapata maendeleo. Zitaiumiza CCM mwaka 2025 hawataamini kitachowakuta
  8. E

    GE2020 TUJADILI: Je, hotuba za mgombea Urais - CHADEMA ndugu Tundu Lissu katika kampeni huwa anamtukana Mgombea Urais - CCM na Rais wa JMT ndugu Magufuli?

    Jamii ndo inaliki lugha na tafsiri yake, na kila kitu dunia huwa kina pande mbili, wa kushoto na kulia, hii ina maana kwamba neno lilelile linaweza kuwa tafsiri tofauti kuliangana na aliyeongea alikuwa katika mazingira gani? Anaongea na nani? na Uhusiano kati yake na anayeongea pia huyo mtu...
  9. E

    GE2020 Kawe, Dar: Yaliyojiri mkutano wa Dkt. Magufuli katika viwanja vya Tanganyika Packers

    Hana jipya huyo labda atangaze ajira za ualimu ndo atashawishi watu wapya wa kumpigia kura.
  10. E

    Ajira za walimu changa la macho

    Swala ajira linamgusa kila mtu, maana kama wewe una ajira , atakuwepo binamu, shemeji, rafiki, jirani, mtoto wa dada, mtoto wa kaka, mtoto wa shemeji au mtu yeyeote wa karibu ambaye hana kazi.
  11. E

    GE2020 Askofu Gwajima amlaumu Halima Mdee kwa mafuriko ya Dar-es-Salaam siku ya leo

    Kwani Halima aliwahaidi kuwa atawaletea mafurikoooo!!!! Hizi ni natural disaster, nampenda rais wangu ni msema ukweli.
  12. E

    TBC haipo hewani, Mafuriko ya leo yasababishwa izimwe

    Hivi wao hawahamii dodoma? Waondoke ili msongamano dar upungue, na hela za fly over ziajiri watoto wa maskini
  13. E

    GE2020 Chato: Msafara wa Tundu Lissu washambuliwa kwa mawe

    Wanatafta kutrend, hiyo ndo siasa ya CDM , utaona vichwa vya magazeti kesho.
Back
Top Bottom