Recent content by Ely84

  1. E

    Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

    Wewe ni zuzu. Swla la ndoa humalizwa kifamilia sio kimtandao. Ni kama umejipaka kinyesi kwa kuweka mambo yako private huku. Kama nmekuwa na uwezo wa kuwa na kampuni 2 kwanini hadi sasa mpange? Ulishindwa kujenga hata vyumba viwili? Au ndio maisha ya kujishoo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
  2. E

    Masoud Kipanya anafanya biashara gani hadi aendeshe magari ya kifahari? Mwenyewe amejibu..

    Huna akili wewe, badala ya kufanya kazi umekazana kuchunguza maisha ya watu. Tulikuwa tunasema wanawake ni wambea ila baadhi ya wanaume kama wewe ni zaidi ya mwanamke kwa umbea. Fanya kazi Acha kufuatilia maisha ya watu, Eti hummer. ... wewe unashangaa Hummer! Jifunze kuwekeza, tumia muda...
  3. E

    Waziri Kigwangalla aagiza kampuni ya Uwindaji ya OBC ya Loliondo kurudi walikotokea kabla ya Januari 2018

    Sijapata kuona waziri jasiri kama huyu ktk wizara hii toka nimepata kujitambua. Big up @ KIGWANGALA.
  4. E

    DC Mnyeti: Nilichangia mchango wa harusi diwani aliyehamia CCM kama ambavyo nimekuwa nikiwasaidia madiwani wengi CHADEMA

    Mwenzako kaweka video sio maneno matupu! . Nb: ktk videos zote nilizoziona hakuna mahali uligusia mchango wa harusi. Na kama ni mchango wa harusi kwa nini ulihofia kurekodiwa? Kwani kweny harusi kuna siri?
  5. E

    Yaliyojiri: Kesi ya Mh. Lissu ya 'Dikteta Uchwara' - Agosti 28, 2017

    Duh shahidi kala maswali hadi kapanik kimtindo. .hahahahhaha Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
  6. E

    Mwanamke aliyeniacha kwa mbwembwe ananiomba turudiane

    Anatafuta refuge. Temana nae kwani ukimkubalia siku utakayofulia tena ataondoka Sent using Jamii Forums mobile app
  7. E

    Nimethibitisha ni kweli mke wangu kanisaliti

    Bro ukimchunguza bata Huwezi kumla. Najuwa psychologically hautakuwa sawa hata miaka 50 ijayo, na uaminifu kwa mkeo utakuwa imekwisha hata aje akupigie magoti bado kumbukumbu itakuwepo tu! Achana na huyo mwanamke na tafuta chombo kingine usijipe magonjwa ya moyo sbb hata maandiko...
  8. E

    Korea yatangaza rasmi kwamba sasa makombora yao ya nyuklia yanaweza piga eneo lolote Marekani

    North Korea waliionya Marekan kwamba shambulio lolote kutoka marekan dhidi yao wao watajibu kwa Nuclear. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. E

    TRA yaikadiria ACACIA deni la Tsh. Trilioni 425.4 kama Malimbikizo ya Kodi

    Am not very much good in English but what I have just grasp here is Accacia will not going to pay that huge amount. It is as if they're laughing at us. "Accacia refutes each set findings and re-iterates that it has #fully #declared all revenues " [emoji28][emoji28][emoji28] Sent using Jamii...
  10. E

    Nimejaa hofu kwa nilichokishuhudia kwa mpenzi wangu

    Uoga wako ndio kifo chako. . Hakuna kiarabu hapo hayo ni maandishi ya kitapeli tu. Acha Uoga! Ila kama mpenz wako ameanza kwenda kwa waganga temana nae.
  11. E

    Huu ndio muonekano wa ndege ya kifahari ya Boss wa Barrick aliyoitumia kuja Tanzania kumaliza skendo

    Kama wanaendesha biashara kwa hasara kwanini hawashuki ktk soko la hisa la London ex. ? Pili wangewezaje kufunga safari kutoka Canada kuja Tanzania kufuata biashara ya hasara? Ifike hatua tuwe na mawazo mapana katika hili. . Tusitegemee mzungu kuja kutawala kama enzi za Ukoloni kwani kwa sasa...
  12. E

    Lissu: Si mara ya kwanza tunaahidiwa kuwekewa mikataba wazi. Kumuunga mkono Rais si lazima

    Mwenye kusoma kwa makini bila kuweka itikadi za siasa ataelewa Lisu amemaanisha nini. KATIKA ZIMA MOTO Ukiwa kama fire brigade unafundishwa kuelekeza extinguisher kweny fire Base. Ambapo mikataba ndio BASE ya huu moto tunaouona. Ndicho anachomaanisha Lisu!
  13. E

    Mtangazaji Sam Mahela acha kutingisha kichwa unapomaliza kutangaza

    Sion kitu ambacho binadamu anaweza kufanya halaf kikamridhisha kila mtu. Whatever u do people will make a comment.
  14. E

    Mtangazaji Sam Mahela acha kutingisha kichwa unapomaliza kutangaza

    Mbona imekaa powa tu.. ni swagger flani tu. . Sioni kitu binadamu anaweza kufanya halaf kikamridhisha kila mtu. Whatever u do people will make a comment.
Back
Top Bottom