""Chepe la pili katika kaburi la umasikini wa Kagera ni vita vya Kagera ambavyo vilipiganwa ndani ya ardhi ya Kagera.
Mkoa ulisimamisha uzalishaji kipindi chote cha vita. Mashamba yaliharibika, mifugo ikapotea pia kuna vifo vilitokea, baadhi ya wakazi wakawa wakimbizi. Mkoa ukawa kama...
Ndio maana DMP hawakumsikiliza wakati ule....kwa ufupi mkuu wa kanisa ni "ceremonial" hana madaraka ya moja kwa moja kwenye dayosisi labda ile anayoiongoza.....
Sasa kama wasio na degree na ambao ni wengi wanamaendeleo yasiolezeka sasa mbona unasema nchi haiwezi kuendelea? Si tayari ishaendelea tayari kwa hisani ya wasio na degree?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.